Maandamano yamekwisha pitwa na wakati. Vijana wapo busy kupambana na kutafuta pato la Kila siku
Hao wanatumia fedha nyingi kusafirisha watu kutoka Mkoa mmoja kwenda mwingine waonekane Kuna watu wengi.
Watu wanawashangaa wanaowaona kama wanafanya jogging tuu
Wafanye maamuzi magumu, ili kuokoa misitu yetu, kuharamisha shughuli za kiuchumia washushe Bei ya umeme kwa kiwango Cha chini kabisa ili kuachana na ma gesi ambayo ni ghali na hatari lakini ujasiriamali utaongezeka
Hayo ndio ma vector wa ukimwi. Yanazoa sehemu mbalimbali yanawasambazia kwa kuwa yananhela na ninyi mnadhiki mnauza K hamkatai. Yameos wake wazuri kwa harusi za kifahari ,yameacha watoto wazuri nyumbani vinasoma english medium. Vinamwita dad kumbe ni li firauni. Likianza kuugua linasimgizia...
Unakuta zee Zima , nyama zimeanza kuachana na mifupa, nywele zimeota mvi ila amepaka rangi kuzificha , limevaa eti kaptula lipo huko club linaruka ruka
Zanzibar uchumi wake ni WA kihistoria unachangiwa pakubwa na mapato ya utalii
Raia wawe makini Sana kutumia biashara zao kama nyenzo za kueneza au kuonyesha itikadi zao. Hii ikienda viral itatuharibia. Wakati wa mwezi wao wajue Kuna wageni wasiofungamana na Imani hiyo hivyo hoteli za Umma...
Ni jambo la aibu na ajabu kwa mtu anayejiita mchungani, kukosoa uimbaji wa Mungu na kumdhalilisha huyo binti kiasi hicho. Hivi akiiisikia hii video si anaweza kujiua?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.