Hiyo nayo ni muendelezo tu wa ndoto zako kama zile za kupaa Kukimbizwa na mnyama nk.. mambumbumbu mengi yapo kizazi hiki tu. Miaka ijayo Patachimbika weka hii na omba uzima
Kama ni pesa basi zinasafirisha kienyeji sana.... Kuna siku natoka Singida Naenda dom Nilipishana nayo yakiwa mbele limetangulia dogo na king'ola afu haya makubwa matatu yakawa kati ila kwa gap kubwa kubwa na mwishoni ndo ndogo yenye king'ola. Dereva wangu akaniambia hizi gari ni za watu wa...
Nimeshindwa kuungana nawe Maana bando la kuangalia hiyo video sina... siku ingine tufikirie nasi uwe unaandaki kile unachotamani tusshiriki na unaweka video kama chanzo Cha taarifa kwa wenye kuhitaji
Yani Anavyoachwa msataafu ni heri maana wenyewe wanachanganyikiwa na pesa za mafao zikiisha magonjwa yanakuwa Yao Na Akili inayumba hivyo mwanamke anaona heri aachane na kichaa
....sasa wanaopoteza Ajira ndio inatia huruma Aisee
Tukitoka hapo jwtz wakifanikiwa tuwapeleke kwenye mahakama za kimataifa zinazo wachemsha BOGO CCM na wakina Prof Mruma..... Ndani tuliwahi watumia kwenye udhulumuji wa korosho Kusini walifanikiwa Nasemaje walifanikiwa kwa % zote zilizopo Duniani
Imani zote zimekuja kwa hofu tu yakuhusianisha maisha mawili tofauti Uhai na kifo....
Haya maisha yanaanzia pale mbegu ya mwanaume inapoungana na yai la mwanamke..... Unapitia kwenye maisha usiyo yafahamu mpaka unakuja kuwa mtu mzima hivyo kifo nayo ni maisha.... Vitabu vikubwa vya Dini ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.