kweli ni utata na kuna kauli niliisikia kuwa u4 alimueleza yule muuza samani kwamba muuaji nimemuacha ndani cjui kama familia yangu ipo salama..sasa kama muuaji alimuacha ndani alimuonaje tena akijiua?
hahaha..ni kweli wanaboa sana, kuna mmoja alipata ajali huku kwetu kwa hasira watu wakawa wanampita, wanasema nyie c mnajifanya mna umoja..subir wenzio waje wakuokoe..!!
eh unampa pongezi kwa kutupa mtoto?hata kama awe na matatizo kiasi gani suluhisho c kutupa mtoto alikuana uhakika gani kama mtoto huyo ataokotwa na mtu ..je angeliwa na wanyama? ni bora angeweka wazi shida zake wasamaria wamsaidie...
Hivi inawezekanaje mtu uzae mtoto umlee mpaka miezi minne halafu umtupe kweli? hata ile huruma tu kwamba mtoto huyu amenizoea, nitamkumbuka, cjui nani atamuokota, kweli mtu unakuwa hauna? nimeamini kweli tumeumbwa tofauti...mtoto huyu mzuri unayemuona ametupwa maeneo ya bamaga mwenge, kwa nini...
mmmh, huko kwenye kutafuta amani sasa kuna mawil Daddo..either damu yangu imwagike ...wakati me bado nina hamu ya kuishi!! kenya now hali ni shwari nitakuwa mkimbizi kwa muda..hahaha..
Leo nimeshuhudia timbwili kati ya necy mmoja wa ward ya watoto mfupi halafu kakomaa miguu akigombana na dada mmoja eti kisa nesy huyo analazimisha kumchoma mtoto wake sindano ya quinine wakati docta amemuandikia mtoto huyo drip ya quinine, mwishoe yule dada alikubali mtoto achomwe sindano hiyo...
Mwanafunzi alikuwa anakerwa sana na sala ndefu ambayo wazazi walikuwa wanamlazimisha kuisali kabla hajalala...mwanafunzi akaamua kuiandika sala yote kwenye karatasi akaibandika ukutani..ikifika ucku anaingia kitandani anajifunika...halafu anasema EH MUNGU SOMA PALEEE....halafu analala..!!
Eti mtoto alimuona baba yake anakojoa akamuuliza baba hiyo nini? baba akamwambia mwanangu hii inaitwa heshima, mtoto akakua na kujua kile kitu kinaitwa heshima...cku moja yule mtoto akawa anapata kipaimara so home kukawa na sherehe...baada ya sherehe mtoto akaambiwa asimame atoe heshima mbele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.