Kwanza kabisa,Poleni kwa misiba mizito inayoendelea,
Pili nawapongeza na kuwapa pole wale wanaume waliooa wale wanawake tunaowaita ambitious women
Wanawake wanaojiangalia wao, wanawake wenye malengo makubwa makubwa, wanawake wasioweza kuvumilia shida , Yaani wao pesa mbele Kama tai,
Huwa...
Najua watu wengi wanaopenda na kujali ngozi zao huwa wanatafuta bidhaa nzuri za kuleta
matokeo mazuri
Hapa sasa Umefika, tuna bidhaa nzuri kutoka brands kubwa (Nivea,Dove,Ordinary,Boots, n.k)
Pamoja na brands ndogo zenye bidhaa nzuri kama (Cosmo,Dr Davey,Cantu,Dr rasheln.k)
Hapa utapata...
Kwa wiki mbili hivi kumekuwa na minong’ono juu ya madereva wanaotoa huduma kupitia Bolt
Tuhuma hizo zinahusisha kujeruhi, kupiga, kutapeli na kunyang’anya abiria mali zao
Pia kupeleka abiria kwenye wrong destination.
Hizi tuhuma zinaweza kuwa ni za kweli ila ikawa ni mipango mikakati ya...
Wanawake ni kundi lenye majukumu lukuki katika siku, pamoja na majukumu hayo usafi na urembo ni jambo muhimu pia.
Wanawake wengi wamekuwa wakizingatia zaidi nywele na uso huku wakiacha miguu na kucha zake vikibaki kwenye hali taaban,
Unakutana na mdada kasuka knotless kachora wanja wa lulu...
Wale wakali wa decoration,
Wapaka Rangi za aina mbalimbali, karibu ununue rangi kwetu na utapata maji ya kunywa buree
Rangi tulizo nazo ni
1.Drewa (mineral stone) kg 25
2.Cone mix (Terrasit) kg25
3.Emulsion Base na Ya Rangi kuanzia 4Lt mpaka 20Lt
4.Weatherguard Base na za Rangi
5.Silk (wash...
Hapa utakutana na magari ya aina tofauti tofauti na bei ya kipindi cha Magufuli.
Magari kuanzia namba A mpaka D za mwishoni
Utapata chassis kutoka Japan na ukihitaji kutoka Zanzibar utapata pia
PIA kama una gari lako unahitaji kuuza tuwasiliane nitakuunganisha na wateja wa uhakika kabisa
Kwa...
Habari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno. Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
Majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno. Nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukia...
Shamba lipo Dakika 10 kutoka Barabara kuu linafikika kwa Gari na Miguu
Lipo opposite na Serikali za Mitaa za Fukayosi.
Huduma za kijamii zipo
Linafaa kwa Kilimo na Makazi.
Bei ni 1,500,000 kwa Heka moja.
15,000,000 kwa hela zote 10.
Karibuni 0755155782
Tunauza Balo za Mtumba Uzito tofauti tofauti,
Kuna Balo za UK Bei yake Ipo juu kidogo kutokana na Ubora na aina ya material ya Nguo zake,
Kuna Balo za China hizi bei yake Ipo chini Kidogo kulingana na ubora wa Bidhaa zake.
Zifuatazo ni Aina za Balo na Bei zake;
Nguo za watoto Kg 45 UK @680,000...
To you Papa D,
I know you know how much I love you.
Wachana na maneno ya wanga,
Nisikize mimi,nipe vya uvunguni usinibanie,
Nilaze kwenye kifua chako Mashaallah, usiniache hewani.. Nipo tayari kwa ajili yako..
Nakupenda Leo mpaka kesho..
Hazard CFC
Karibuni shuka nzuri mtaani zinaitwa shuka za Uganda
Ni cotton 100%
Hazitoi vipele kabisa
Kufulia omo ni ruksa kabisa.
Zinafaa kutandika na kujifunika
Ukubwa ni 6*6
Zinatosha Godoro nch 10 na zaidi
Shuka moja na foronya mbili bei ni 25,000
Shuka bila foronya bei ni 20,0000
Shuka mbili...
**weekend hii tulivu nimekaa nikatafakari juu ya Ukuu wa baadhi ya wanaume jamani **
Yaani unakuta mwanaume anagusa kona zote,
Kushoto kulia
Kaskazini mpaka kusini
Anakata mabonde na milima bila kusahau vichochoro na vichaka vyoote...
Yaani mwanaume anamuhamisha mtu kutoka dunian mpaka Pluto...
Hello
Natafuta muuzaji wa vitu vya watoto
Kuanzia
>>equipments za watoto wachanga
>>Furnitures
>>vinguo vya vichanga
>>Trollies
>>Toys etc
Please awe ni muuzaji wa jumla nahitaji kwa ajili ya kuuza rejareja
Awe wa uhakika
Asiwe dalali
Awe na Duka
Karibu Pm.
Wapendwa wanaJf najua hizi bidhaa hata mtaani zipo!
Ila niungisheni kila bidhaa itakuwa na bonus ya leso ya cotton [emoji16][emoji16]
Bidhaa zetu zinatoka Uganda,kule wanaleta mzigo genuine tofauti na Kariakoo uchakachuaji umekuwa mwingi![emoji4][emoji4]
Delivery ipo kwa wana Dar es Salama na...
Natafuta matango kiasi kwa ajali ya biashara,
Yawe yapo shambani nitafuata mwenyewe,
Ama kama anaweza kuniletea tutazungumza.
Napatikana Kibamba, Dar es Salaam
Bei ya bidhaa itatoka kwa mkulima mwenyewe na makubaliano yakifikiwa tutafanya biashara.
Napendekeza matango kutokea mikoa ya pwani...
Hello wapenda urembo wenzangu?
Japokuwa mie mgumu ila kwenye swala la ngozi nipo makini...
Nawakaribisha katika uzi huu tushee njia kadha wa kadha za kung'arisha ngozi na kuifanya iwe laini.
Njia ya kwanza ni
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Mafuta ya nazi +carrot...
Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?
Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.
Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu...
Kama tunavyojua biashara ni matokeo ya kusuluhisha changamoto zinazojitokeza katika maisha ya kila siku
Katika changamoto hizi ndipo unapogundua kuna jambo la kufanya kukuingizia kipato.
Haya hapa ni mawazo ambayo nimeyapata kwa kuangalia changamoto katika mazingira yetu ya KiTanzania ,pamoja...
Simu imetumika miezi 3
Utapewa charger yake
Risiti zipo
Haina tatizo lolote,
Ipo Ubungo Dar es Salaam
Bei ya kuanzia ni 110,000
Ukihitaji njoo
0755155782
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.