Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezidi kuaminika nchini na kuchukua nafasi zilizokuwa zinashikiliwa na CCM baada ya kujinyakulia kiti cha mwenyekiti wa kijiji cha Ibambo na vitongoji vinne katika vitano vilivyokuwa vinagombaniwa kwenye uchaguzi wa kuziba nafasi! Kijiji cha Ibambo...
BREAKING NEWS
WATUMISHI WA IDARA YA ELIMU NA NYINGINEZO MANISPAA YA ILALA WAFUTWA KIENYEJI KWENYE PAYROLL
Watumishi zaidi ya sabini wa manispaa ya ilala wengi wao wakiwa walimu wamefutwa kwenye payroll,walimu hao wamejikuta hawana mshahara wa mwezi wa tano,habari tulizopata toka kwa mmoja wa...
SIZE: 1200 Sqm (1 plots) AU 30 KWA 40
BEI: MIL 25
SIFA YA KIWANJA
ENEO LINA HATI MILIKI HALALI
KIWANJA KINA MIUNDOMBINU YOTE MAJI NA UMEME VIMEFIKA KATIKA KIWANJA
GARI AINA ZOTE ZINAFIKA MPAKA KATIKA KIWANJA BILA MATATIZO YOYOTE
MAZUNGUMZO KUHUSU BEI YANARUHUSIWA.
SIMU NAMBA 0715 47 84...
SIZE: 1200 Sqm (1 plots) AU 30 KWA 40
BEI: MIL 25
SIFA YA KIWANJA
KIWANJA KINA MIUNDOMBINU YOTE MAJI NA UMEME VIMEFIKA KATIKA KIWANJA
GARI AINA ZOTE ZINAFIKA MPAKA KATIKA KIWANJA BILA MATATIZO YOYOTE
MAZUNGUMZO KUHUSU BEI YANARUHUSIWA.
SIMU NAMBA 0715 47 84 78
Generator kubwa zinauzwa..Specification: Rolls Royce model driven by Caterpilla engine,
output ni 180kva +20% made in UK.
zimetumika Uingereza 300 hrs.zInawafaa zaidi wenye mahitaji makubwa kama viwanda na majengo makubwa.
Bei zake ni Tshs 30mil. Mazungumzo yanaruhusiwa.
Kwa mawasiliano ya...
Generator kubwa zinauzwa..Specification: Rolls Royce model driven by Caterpilla engine,
output ni 180kva +20% made in UK.
zimetumika Uingereza 300 hrs.zInawafaa zaidi wenye mahitaji makubwa kama viwanda na majengo makubwa.
Bei zake ni Tshs 40mil. Mazungumzo yanaruhusiwa.
Kwa...
Akiongea na waandishi wa habari mkurugenzi huyo amedai wafanyabiashara wanatumika tu kuna watu wapo nyuma ya hayo maandamano na vurugu! Wakati huo huo Kandoro amewapiga mkwara wanaoleta vurugu kuwa watakutana na mkono wa sheria.Watu zaidi ya 200 wamekamatwa huku watu 12 wakiwa wamejeruhiwa...
Hayo yameelezwa na makamu wa pili wa raisi Zanzibar Balozi seif Idd akitoa taarifa kuhusiana na Riport ya uchunguzi wa ajari hiyo.Maiti zilizopatikana ni 200 huku waliokolewa hai ni zaidi ya 600 hvyo idadi ya wale abiria wasiojulikana walipo ni 2700! Hakika ni uzembe usiosemeka!
Kamati kuu ya CCM mkoa wa Ruvuma imethibitisha kuwa maamzi magumu hayawezi kufanyika ndani ya CCM. Hii ni baada ya kuyatupilia mbali maamuzi ya kamati ya siasa wilaya kuhusiana na kuwavua uanachama madiwani watano wa ccm wanaoendelea na msimamo wao wa kutokumtambua Meya wa manispaa ya Songea...
Wamemuua mchungaji wa kimasai,ndugu zake wamedai hana hatia yoyote ,wamegoma kuzika mpaka aliyemuua akamatwe! RPC Morogoro adai aliyeuawa alikuwa mwizi sugu wa Ng'ombe.Source ITV taarifa.
Akamatwa na simu ndani ya gereza akiwa mfungwa huku sheria za nchi zikiwa zinazuia kitendo hicho!
Bosi aliyekuwa anawasiliana naye kuhusiana na rufaa yake ndiye aliyemchoma kwa maafisa wa jeshi la Magereza baada ya kuchoshwa na namna alivyokuwa anamsumbua kuhusiana na rufaa yake!
Atolewa...
Ni mheshimiwa Abel Gegecha alichakachuliwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa kijiji cha Kaseke kigoma vijiji ,ameshinda rufaa yake baada ya hakimu kugundua taratibu zilikiukwa mpaka kumtangaza mgombea wa ccm kuwa mwemyekiti wa kijiji.Kila la kheri mh Abeli Gegecha hatimaye wananchi watampata...
Baada ya kuwa amefanya shooting nyingi upande mmoja wa muungano 'Bara' TID Aliamua kwenda kufanya shooting Zanzibar,wakiwa katikati ya zoezi hilo maeneo ya Forodhani walitokea maafisa wa parking wakawaomba kibali,kama walivyozoea Tanzania bara hakuna mambo ya kibali wakawajibu hawana,hapohapo...
Hivi hawa wabunge wa ccm wanavyosimama bungeni na kuanza kusema vijana wa vyuo vikuu wasikubali kushawishiwa na Chadema kugoma! Je ni kweli wabunge wa ccm wanajua shida za wananchi wao kama wameshindwa kujua haya ya wanavyuo?! SABABU ZA WANACHUO KUGOM ZIPO WAZI ,UDOM' SHULE YA Informatix...
Ni barua ya B.G Mabubu kwa mhariri wa gazeti la Mwanahalisi tar 22jun2011.Anauliza hv' mbona kwenye kipindi cha Jk mambo yameharibika mwaka 2006 wakati Jk anaingia madarakan kiwango cha ufaulu darasa la saba ilikuwa 71% mwaka 2009 ikaelezwa kuwa kiwango cha ufaulu ni 49%.Sekondari 2006 ,10% ndio...
Nachukizwa sana na tabia ya wabunge wa ccm kuanza kujibu hoja za wabunge wa Chadema wakati wakujadili hoja mbalimbali za serikali,hivi hawaoni kuwa wanapoteza nafasi adhimu ya kuwatetea wananchi wao? Mbona mawaziri wapo kwaajiri ya kujibu hoja za upinzani? Mbaya zaidi wanawajibu wapinzani kwa...
Ni katika hali ya kuthibitisha uchovu wa jeshi la Polisi kwamba hawana hata helikopita (kama ni kweli ilibidi asafirishwe kwa helikopita) au zile walizonazo zimeharibika! Au ilikuwa nikumpa hofu Mh Mbowe?! Au tuamin tu kwamba kama maisha yao polisi yalivyo mabaya(kuishi kwenye vibanda vya mbavu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.