Jamani vijana tukimbilie wapi? Tanzania inazidi kutubana kila kona. Sasa mafukara ndo watabaki kuwa mafukara milele coz tukisema kujiajiri mikopo ipo wapi? Wangetenga hata fungu dogo kila mwaka watoe mitaji kwa vijana 20,000 na hili linawezekana kabisa. Kwann zinapatikana 78 bilion za kugawana...
Kwa mfano wilaya ya simanjira haina mahakama. Ndo juzi kati nlipata taarifa wanaanza mchakato wa kujenga mahakama! Sasa hawa mawakili si ndo vituo vyao hivyo? Pia kuna wa2 tunasubiri kuitwa interview ya utumishi, kuna Afisa tawala na Wa2 wa IT. Sasa sijui hii imekaaje?
Mungu tusaidie, nchi yetu inanuka kila kona. Ila hata kiimani ktk dini zetu haisemi watu kuwa wapole hv, ipo siku Tz itaamka kutoka usingizini/ gizani na woga utaisha....hakuna atakayejali kuumia wala kufa. Kila jambo lina mwanzo na mwisho
Jamani hii ni week ya 2 sasa tangu deadline ya tangazo la Tume ya utumishi wa mahakam, vipi kuna yeyote mwenye habari kamili kuhusu interview ya Tume ya Utumishi wa mahakama itakuwa lini?
Naombeni kujua ni lini jwtz wanachukua intake ya professionals kwa 2013 lini? Kwa taarifa nlizo nazo ila ninashaka nazo, ni kwamba hadi mwezi wa sita. Naombeni ufafanuzi zaidi kama ndivyo au la
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.