Nmesoma hii habari kwa ufupi imeumiza sana, kwanini waalimu wahamishwe?
Wamefanya kosa gani?
Shule kutokuwa na choo ni jukumu la nani?
Wewe waziri na watu wako wa chini kwanini msianze kuwajibika kabla ya waalimu?
Katika hali ya kawaida mtu yeyote anapoona mazingira aliyopo hayako salama lazma...
Kwa wale wapenzi Wa masumbwi je ni bondia gani aliyekuvutia enzi zake au anayekuvutia kwasasa?
Kwa upande wangu mm mwanamasumbwi niliyetokea kumpenda alikuwa Mike Tyson, huyu jamaa alikuwa moto Wa kuotea mbali hasa,
Japo inasemekana anataka kurudi tena na umri Wa miaka 54 ambayo ametimiza...
Huyu ndio pimbi, pimbi ni kamnyama kadogo kenye harakati nyingi zisizo na maana, yaani yeye yuko busy for nothing,
Pimbi anaweza kutoka speed kichaka kimoja na kwenda kingne pasipo sababu yoyote akaenda kwenye kichaka hicho akashangaa tu na kurudi alikotoka au atatoka speed toka kichaka kimoja...
Nmeikuta mahali kuhusu huyu mnyama.
Ni mnyama anafanana na Kobe lakn anatoa sauti kama binadamu anayelia.
Inasemekana anapatikana Africa na America pia inasemekana anashinda sana makaburini akila mizoga ya binadamu.
Inasemekana kwamba akiwa anakula nyama za binadamu makaburini akihisi binadamu...
Inaelezwa kwamba aliyekuwa waziri mkuu ktk serikali ya rais aliyeondolewa madarakan Omar Alba shir wa sudani amepokea kipigo kutakatifu toka kwa raia wa nchi hyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.