Habari wakuu? Nimeambatanisha picha hapa chini,kwa sasa nipo mbali na hospital kubwa nilitaka kujua kwanza kwa sasa nina miezi nane ,nywele hazioti sehemu moja inabaki kama kishilingi hivi.
Ina vyumba viwii vya kulala , choo cha ndani na nje. Ina jiko ,dinning na baraza ya mbele na jikoni. Nyumba inajitegemea mifumo ya maji na umeme.
Ipo ndani ya fence,bei ni 250000/= fixed. Ipo kilometer 1.5 kutokea njianne ulelekeo wa madale, mita 110 kutokea lami.
0789 505 901 mawasiliano
Habarini wakuu?
Hivi hawa Tanesco pale wilaya ya Mbezi Beach wanataka tuwafanyeje?
Yaani mtu anaunganishiwa umeme anapewa unit 10. zikikata inapita zaidi week nzima unaenda kwa Vendor kununua umeme unaambiwa Luku yako haijwa activated. Ukienda pale na meter yako utasikia baada ya masaa 2...
Happy, binti mwenye akili, aliyetoka katika familia isiyojiweza lakini alifanya vyema katika matokeo yake ya kidato cha 4 katika shule jirani ya serikali, hivyo meneja wa shule, Padri Damian Milliken alijitolea kumsomesha Mazinde Juu na kumhudumia hadi atakapomaliza kidato cha 6 .
Baada ya...
Haya mabus ya Dar to Mbeya, Mbeya to Dar, Mwanza to Mbeya, Arusha to Mbeya speed zao si za kitoto. Nimesafiri mara kadhaa route ya Mbeya ni balaa tupu, sitataja mabus ila ntatoa mifano.
1. Ukiwa Dodoma stand mabus ya kutoka Arusha ni mengi ila ya mbeya lazima yaingie kwanza.
2. Ukiwa Moro...
Yaani sijui ni wizi planned au ni makosa ya mtandao, mwezi wa tatu nimelipia mara tatu tar 7,tar 17 na tar 25. Na tena leo kimeisha naambiwa nilipie wakati ni kifurushi cha mwezi. Huko nyuma hali haikua hivyo , hivi watumiaji wa dstv hakuna aliwahi kumbana na changamoto kama yangu?
Sent using...
Kuna nyumba hapa Goba, inahitaji kupiga plasta nje na ndani kote, ina vyumba vitatu vikubwa sana vya kulala kimoja ni self, sebule kubwa, jiko, dinning na verander.
Nahitaji fundi wa kupiga plasta nyumba nzima lakini bajeti yangu ni 1M tu plasta nje na ndani na kiuno.
Vyumba upana na urefu ni...
Kuna ajali ya Roli na fuso hapa karibu na mji mdogo wa Mbwewe Bagamoyo wilayani Pwani. Njia imezibwa sasa ni zaidi ya saa 5 magari hayatolewi na sasa ni foleni ndefu za magari, mabus yanayofanya safari kutokea na kuja Dar, Moro nk kuelekea kaskazini , Tanga na nchi jirani yamekwama. Magari ya...
Mimi ni mwajiriwa kampuni binafsi hapa Dar, na mke wangu yupo serikalini ngazi ya chini kabisa ya mshahara.
Nilifanya kazi yenye mshahara mkubwa miaka miwili iliyopita mikoani na nikafanikiwa kujenga nyumba tunayoishi na familia Dar.
Miaka hii miwili nilikuwa nadunduliza tu ila nimepata dili...
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam, nimepata usumbufu wa kupata cheti cha kuzaliwa cha mwanangu mwenye mwaka mmoja.
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia ntampa hela ya maji si chini ya elfu 80.
Ni pm tuongee, sitakii kwenda tena huko napoteza muda kutengeneza hela bora muda huo nitengeneze hela zingine...
Tunatafuta chuo au popote wanapotoa mafunzo ya computer microsoft word, excel ,graphics kwa angalau miezi mitatu.
Ni F4 leaver wa miaka mitano iliyopita. Anataka kufungua stationary December mwaka huu. Ikiwa Goba, au Mbezi tankibovu au Kawe itapendeza zaidi.
Habari?
Nina mtoto wa kike F1 namhamisha toka Mtwara nikae nae hapa Dar , kati ya shule hizo mbili nimpeleke ipi?
Ada nimeuliza najua ila waliosoma hizo shule tupeni mazuri na mabaya, nasikia Makongo na boarding ipo.
Kitaaluma zaidi na nidhamu
Habari?
Nataka gari ya kubebea mizigo ya shamba, kama mbolea , magunia ya mahindi nk kwa bajeti isiyozidi 20M . Naweza kupata gari gani? Napatikana Tunduma , songwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nina kiwanja cha square kilometer 400, nimeshazungusha ukuta upande mmoja bado pande tatu ni kama tofali elfu 2 kasoro hivi za nchi 5 na 6 jumla.
Nipeni gharama zake au fundi mzuri aende aone site then tuongee bei.
Contacts 0716282670.
Sent using Jamii...
Hivi naweza bajaj mpya kwa 4M? Au hata used nasikia kwa siku ni 15K to 30K Pera day, nipo Dar. Nina parking nzuri na gate pia nataka iwe inalala hapa home, sasa nina dereva muaminifu ila sijajua wapi au naweaaje kupata bajaj kwa bei hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.