Nimeishi Arusha, Mwanza, Dar es Salaam, Mbeya, Njombe, Morogoro na kupita mikoa mingi ya nchi hii, mie japo si wa Morogoro, mkoa mzuri kwa mtu kuishi ni Morogoro. Maisha yangu yaliyobakia nitamalizia huko.
Wewe ni member wa hilo group la WhatsApp la Single Mothers? Vinginevyo naunga mkono hoja yako. Wanawake walioshindwa, wakiungana ni sumu kwa kilichowashinda kama wapo wanaweza. Ni sababu ya wivu wao.
Ni kwa vile wameshatuona watz tu wajinga. Wanatuibia kila kona hatulalamiki.
Ukiingia stand kama hotelini, huduma ya Choo ilitakiwa iwe inahesabiwa katika kiingilio chako. Lakini wapi!
Uko sahihi. Hata hizi Daladala, kuna sehemu Daladala tayari nauli zilikuwa juu kuliko hizi zonazotangazwa. Hivyo sasa nao wataongeza tena! Mfano nauli ya Moro - Mzumbe ya LATRA ilikuwa 750 wao walikuwa wanatoza 900 au 1000 na sasa ya LATRA ni 850. Ni kwa vyovyote vile itapanda sana. LATRA hapo...
Kuna watu nikiwemo Mimi, tunakushangaa vitu unavyoongea! Hivi hujui kuwa hata iweje hao vijana lazima wawepo. Sana sana watabadili style ya kuishi. Na style hiyo inaweza kuwa hatari zaidi kwa jamii.
Nafikiri umesahau kuwa nchi yetu kuna wakulima na wafanyakazi. Wote tukienda kulima alizeti, nani atafanya hizo kazi za mfanyakazi? Naungana na wanaosema kuna mahali mamlaka zetu zimezembea.
Mbona unafuatilia vitu vya hovyo vile? Kama wewe ni Ke naweza sema pengine unatafiti ili uone kama kazi hiyo inalipa ili nawe uingie. Kudanga ni DHAMBI.
Kama nakuelewa vile. Usikute baada ya kelele dhidi ya Mwendazake kuwa kila kitu Chato ndo akaamua kujenga shule hiyo kwa kutumia jina la Museveni. INAWEZEKANA.
Sisi na uchumi wetu wa kati, kuna mahali tumejenga au kufanya chochote katika nchi ya wengine? Kama ni kweli kinachosemwa kuhusu shule za Uganda, Museveni hajafanya poa kujengea shule Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.