Hello,
We are professional trainers in office applications and many other professional and career enhancement areas. Our well organized tools and techniques are meant to shape your skills to deliver the best to your clients, managers, employers, employees, students, etc.
Advanced Excel...
Katika pita pita zangu, nimegundua kuwa watanzania wengi huwa wanaunda vyama vya kijamii kwa ajili ya "kusaidiana katika shida na raha". Leo naomba tuangazie matatizo ambayo ni commom kwa vyama vingi na tujaribu mwisho wa siku kuyatafutia ufumbuzi kwani vinapoteza hela nyingi za watanzania...
Mimi nilipoiona hiyo habari jana bila hata kumuuliza m2 nilijua kwa nchi kama Tanzania hiyo kitu haiwezekani na kama ingewezekana ningejua tuna makamasi Mengi sana katika ubongo wa wafanya maamuzi. Launching a project without funds??????????????????????
Wakubwa,
mimi ni mpenzi wa kuangalia documentaries. Naomba kujua hapa Dar es Salaam naweza kupata wapi HD quality documentaries. Nikipita kwenye libraries nyingi nakutana na movies tuu, ila documentaries sijaona.
Hello,
Natafuta water level sensor + indicator inayoniwezesha kujua level ya maji kwenye tanki. Inaweza kuwa midhiri ya ile ya mafuta kwenye gari au hata "digital version" yake.
Niko Dar es Salaam. Kwa anayejua pa kuipata naomba anijuze.
Wakubwa maswali ya Kanyagio hayakupewa majibu. Hata hivyo, wakati nilipotembelea nane nane mwaka jana, nilijifunza kuwa Tanseed International wana mbegu ya mahindi inaitwa TAN H600 ambayo wali"showcase" kuwa inaweza kutoa magunia zaidi ya 20 kwa hekari. Kwa bahati mbaya sana nimepoteza...
Natafuta dalali mwenye uzoefu na network upande wa kariakoo. Nahitaji duka/frem. Naomba kama wewe ni dalali au unaye dalali unayemfahamu mwenye kushughulika Kariakoo nipe contacts zake hapa. Ukiona noma kuziweka namba zake adharani, basi naomba ni-pm. Ahsante sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.