Hata ukilipia uakwekewa umeme bado kero zipo nyingi sisi hapa Viwege tangu umeme ukatike tarehe 28-11-2017 majira ya asubuhi kuna baadhi ya nyumba zinawaka umeme na baadhi umeme hauwaki kisa transfomer la karibu na Picnic Pub pale linaleta shida balaa
Mimi naishi Chanika umeme unakatika asubuhi unarudishwa saa tatu usiku na kukatwa tena saa sita usiku hadi hivi ninavyoandika hakuna umeme kisa eti matengenezo ya transformer ya Sunguratex. Shiiiiidaa
Kuuawa kwa majambazi imekuuma je kuuawa kwa polisi inaonekana ulifurahia. Piga picha ingekuwa imekutokea wewe katika tukio la stakishari jee ungejisikiaje
Chukulia aliyeuawa pale stakishari angekuwa ndugu yako jee ungekuwa na huruma na mtu aliyeua nduguyooo?? twende mbele na kurudi nyuma je hizo silaha walizokwenda kupora kituoni ni za kufanyia nini kama sio kuua raia wasiokuwa na hatia
Basi nafikiri watu wa jimbo la Segerea wana nafuuu kuliko Jimbo la Ukonga utafikiri hawan Baba wala Mama hakuna Barabara, Maji vituo vya afya n.k. watu wa Ukonga tuchague mwakilishi wa kweli
Mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni. Huu usemi huwa una maana sana pale inapokuwa suala Fulani linaegemea upande Fulani. Hivi majuzi tumesikia kuuawa kwa Kinara, Mratibu na Mkufunzi wa Ugaidi na watu wanatumia majukwaa ya mitandao ya kijamii kutaka kuhalalisha Ugaidi. Tukumbuke Wahanga wa...
Nafikiri mtandao ukitumika vyema ni faida kwa Jamii na hasa Maadili ya Kitanzania. Ila kuna wengine wanatumia kutangaza biashara zao fulani (Matangazo ya Kujiuza). Naomba tuwe waungwana katika matumizi ya Mitandao. Usije kujilaumu masuala yanapokuja kukugeuka someni Sheria ya EPOCA ya 2010...
Imetolewa leo tarehe 15.11.2013 nami
Prof. Juma A.Kapuya
Mbunge urambo magharibi
S.L.P 45 Kaliua Tabora
Simu 0784993930 halafu namba anasema aligawa miezi sita iliyopita wakati address yake ikiionyesa
Acheni uoga watu wa Mwanza ni Mazoezi ya kawaida ya kustukiza ili watu kuwa waangalifu na Magaidi. Hilo lilikuwa zoezi tu la kujaribu kujua kama watu wako kiu-utayari (Stand-by) inapotokea kuvamiwa na Magaidi
Nafikiri ni wakati muafaka wa kulinda watu na mali zetu. Moja ilikuwa rahisi kumtambua mgeni yoyote bila kikwazo. Pili matukio ya ujambazi na ugaidi hayakuwepo kwa sababu ya Intelijensia ilianzia kwenye kaya hadi Taifa. Tatu hili suala la Uhuru wa kila mtu kufanya anayotaka ni rahisi balozi wa...
Ivi watu huwa tunapoteza kumbukumbu, maana baada ya Operesheni Kimbunga Kuanza sijasikia tena ujambazi wa kutumia silaha ukiripotiwa kokote nchini. Utambue watu gani walikuwa wanatusumbua watanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.