Public figure ma ass! Kwa lipi alilolifanya? Bulshitttttttttt go to hell. One wonders Kama unajua vizuri what is meant by one being a public figure. Huyu Mzushi kalifanyia nini taifa hili jema mpaka awe public figure?
Hivi kwa muda wa 6 yrs hata mimba haikuingia? Au hakutegeshewa??? Ladies at times u need to be innovative to achieve your plans. At times kuviziana huwayoa wengi, na kwa taarifa tu wengi wameolewa baada ya kuwasuprise ma sweetie waona vimba haaaaa haaaa chezea kuviziana utakaaje bila mpangilio?
Na hata waandishi wa habari wameingia katika mtego huu kwa kuandika wananchi wasiokuwa na hatia? Hata watetezi wa haki za bin Adam nao pia??? Naomba tuelewe kwamba sie wananchi tuna hatia kuliko hata serikali iliyoshindwa kutatua huu mgogoro ...... Sie Kama wananchi tuliipa dhamana kutuongoza...
Well said yeyote Yule aliyeshiriki kwa njia yoyote ile kuiweka hii serikali lege lege madarakani Ana hatia! Na wale wote walioamua kukaa kimya nao wana hatia??? Kimsingi ni wananchi wote wana hatia, Kama siyo sisi wananchi haya yote yasingetupata.
Mara kwa Mara kumekuwepo na malalamiko kutoka katika taasisi mbali mbali kuwasihi Madaktari na Serikali wakae mezani wazungumze kwani wanaoathirika ni wananchi wasiokuwa na hatia ?????? Je ni kweli wananchi hawana hatia katika mgogoro huu???
Kuna haja ya kurudisha heshima kiumeni .......... Its high time wenye inji yao wajue what ua capable of doing..... Msirudi nyuma na kwa umoja wenu mtafanikiwa kupata haki yenu!
Nasikia kuna watu Kama wawili hivi pale wizara ya Afya wamekalia haki za Madaktari zaidi ya 2,000 mpaka madaktari wengine wame opt kukimbilia inji za Botswana n south coz of kubabaishwa MoH? Just imagine watu wawili tu wanaua na kudhalilisha fani ya udaktari hivi hivi wengine wakiangalia? In a...
Huyu Jussa ajibu hoja, kuna swali kaulizwa hapo studio kwamba kwanini hawataki kuiga kwa CCM? Kama kuna uozo chamani na malengo kutotimia kwanini secretariat nzima isiondoke???? Kuanzia katibu mkuu? CCM in the last 10 years Imekuwa na zaidi ya 3 makatibu wakuu lakini kwanini CUF yenyewe haina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.