Wafanyakazi wa DART Morocco wamekuja na mradi mpya wa kutorudisha chenji ya shs 50 wakidai kwa hawana chenji. Huo mradi ulianza polepole na kwa sasa umekuwa chronic.
OSLO (Reuters) - Everyone in Norway became a theoretical crown millionaire on Wednesday in a milestone for the world's biggest sovereign wealth fund that has ballooned thanks to high oil and gas prices.
Set up in 1990, the fund owns around 1 percent of the world's stocks, as well as bonds and...
Kigamboni kuna kambi la jeshi. Kwanini wasisaidie kutoa ulizi na kusaka hawo majangili ? kama waliweza kupeleka jeshi kariakoo, kulikoni wasiweze kumaliza tatizo la kigamboni ?
Ukumbuke kwamba unanunua bastola ili uweze kulinda maisha na mali yako. Bastola ndogo (na yenye calibre ndogo) ina uwezo mdogo in terms of range na stoping power (yani uwezo wa kumzuiwa adui wako asiendele na nia yake mbaya). Anything less than 9 mm luger, effectiveness yake ni limited. Mimi...
Wakenya waliwa alika wenyewe magaidi wa kisomali, wakawa wana "invest" - kwa mfano kama eastleigh, ngara road etc - wakahalalisha miraa (mirungi). Sasa wanataka kuwaingiza nchi zingine thru EAC DEFENCE PACT ili wawasaidie kurekebisha makosa yao !
Je mimi kama raia, naweza/naruhusiwa kwenda RM-Mahakamani na mwanasheria wangu, na kuwasilisha mahakamani ombi la inquest kwa kifo ambacho nahisi kama kuna foul play either huku uraiani au in official custody ?
Ahsante Quinty. Hawo professional walipewa common shares (minority share holders around 25%) na hawakuchangia mtaji (yaani hawakutoa pesa za mtaji) ila ilikuwa verbal agreement kama wao pia watakuwa shareholders katika kampuni
Kuna wafanyabiashara ambao wana ungana na professionals (accountants, engineers, IT etc) na kufungua kampuni. In such cases wafanyabiashara hao wanatoa mtaji during start-up na wanawa allocate certain amount of shares (during start up) hawo professionals. However, zimetokea cases whereby baada...
JF, naomba nipate historia ya kabila la Warangi, ambao ni wenyeji wa wilaya ya kondoa. Pamoja na mila, dasturi na tabia zao (Zinazo kubalika na zisizo kubalika na wengine)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.