Search results

  1. M

    UDSM: Tunaomba msaada wenu JF!

    Hawa nao cjui namna gani utawakuta muda woote wakichat kutafuta mademu tu.Kuna wengina hata anuani za barua pepe hawana!
  2. M

    Chuo cha Acharya Institute of Management & Science (Bangalore, India) ni feki

    Hii mbona kali kamanda,mbona sasa itakuwa balaa sana.Ninavyojua kuna lundo la "vichwa" nikiwa na maana vile vilivyopata Div 1 za pwointi 3 mpaka 5 viko chuo hicho sasa kama madai ndio haya basi mzozo mkubwa hapo. Wewe upo chuo hicho?
  3. M

    TANZIA Ukiwaona Ditopile afariki dunia

    Unajua tuseme ukweli hiki kifo cha huyu "mtoto wa mjini" wengi tumekipokea kwa furaha sana.Hasa tukimkumbuka marehemu Mbonde.....Rest Not In Peace Ditto
  4. M

    JF Email Accounts

    Haina kwere mkuu
  5. M

    TAJENI majina JF

    Kama kuna mtu anaogopa kutaja majina anipe niyataje mimi.Unafiki hatutaki biashara hizi za kutoa ndizi Mwanza na kupeleka Bukoba hatutaki JF.
  6. M

    Nishauri Kwa nini Nirudi Kuishi Tanzania?

    Wewe kama unataka kurudi rudi ni maamuzi yako na akili yako.Sasa hata nikuambia urudi na wakati maamuzi yako ni kutokurudi huoni kama itakuwa ni upuuzi mtupu?. Hapa kama huna akili ya huwezi ishi endelea kubeba box tu huko maswali mengine jijibu mwenyewe unatumalizia kurasa za JF
  7. M

    Huu sio utapeli kweli?

    Hapa mjini kumezuka kwa sasa sijui niite bahati nasibu au la katika sijui niita makampuni kama FOREVER la marekani NA POWER CLUB kutoka Italy. Kwa kifupi mtu unaweka kiasi flani cha pesa mfano kwa forever ni 450,000/= baabdae unapanda vyeo na kila ukipanda vyeo kw akuingiza watu chini yako...
  8. M

    Naombeni Ushauri.

    Usikubali kuacha demu kirahisi mkuu shikiria ngangangaa!! komaa ne huyo Mtoto wa M7
  9. M

    Hawa wako wapi sasa?

    Saigoni kapata shavu kitambo anarusha mawimbi EATV
  10. M

    Unajua Nini Kuhusu Crack

    BInafsi nilishazoea kutonunua software.PC yangu naitumia mwenyewe na kila nikitoka natoka nayo.Na mara kwa mara huwa naishusha injini ili kuifanya iwe imara zaidi. Kama nafanya uharifu bora huu ninaofanya mimi.Na kama kuna mtu anajua mbinu mpya za ku crack na kutafuta key log anai PM
  11. M

    Nahitaji Msaada Kuhusu Hii Message Ktk Pc Yangu

    Duh Shy majibu yako unayatoa kwa mtu anaejua.Mfafanulie hapo naona umempestia link tu mpe maelezo ya kitalaam.
  12. M

    Leteni Maswali ya Kiafya Niwasaidie

    NB(Na Bado) Avatar yako kiboko Mchumia juani
  13. M

    Leteni Maswali ya Kiafya Niwasaidie

    Shukrani sana Mkuu kwa msaada wako hope tutaanza kumimina matatizo yetu hapa.Samahani mkuu unaweza kubadili rangi ya maandishi yako
  14. M

    Yanayo tokea sasa Dodoma Bungeni-Lowasa kuulizwa Maswali kila Alhamisi

    Hakikaa..... Angalia link hii http://www.jamboforums.com/showthread.php?p=133028#post133028
  15. M

    JF: Rankings, Reputations na Maswali Mengineyo..

    Nakuunga mkono kamanda.Kuna member alisema kuwa atakuja RA nae atapewa maandishi ya kijani.Sidhani kama kuna umuhimu wa member kuchangia JF na kuonekana au kujulikana. Itafikia kipindi wale watakaotoa kiwango fulani hapa watakuwa na room yao ya kukata ishu. Ni maoni yangu tu
  16. M

    Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    Rostam Aziz: It wasn’t me
  17. M

    Lipumba atua Dar kwa kishindo!

    Kazi ipo.Iron subiri majibu!
  18. M

    Meya wa Detroit na vi sms vyake kwa Kimada!

    Kidume Dume la Mbegu
  19. M

    Lipumba atua Dar kwa kishindo!

    Sawa kabisa mkuu haya ndio tunataka kuyasikia na kuyasoma.Kufanya kazi UN lazima upate kibali toka CCM?
  20. M

    Lipumba atua Dar kwa kishindo!

    Mkuu ES Pingana kwanza na data hizi,kusema kuwa Lipumba ana tabia ya kulia lia na kudandia ndege ya mwenyekityi wa CCM ni kuzungusha point mkuu
Back
Top Bottom