Teknolojia ya ujenzi wa nyumba ya Hydraform
Kwa miaka kadhaa sasa nchini Tanzania, baadhi ya wajenzi wa nyumba wamekuwa wakitumia mashine za Hydraform kufyatulia matofali kwa ajili ya ujenzi wa nyumba.
Ujenzi kwa kutumia matofali ya Hydrafom unapunguza matumizi ya saruji...
Mkuu dagii nijuavyo kitufe cha kuwashia(power on/off), mara nyingi huwa kikubwa kuliko vingine japo pia kinaweza kuwa kidogo, huwa kinatengwa kidogo tofauti na vingine, hakiwekwagi katikati ila pembezoni mwa kifaa husika(redio). Kwa ujumla si kitufe rahisi kukikosa, jaribu tena au labda ina...
Kwa yoyote mwenye majina na anashindwa kuweka, Anaweza kuyatuma kupitia namba ya Whatsap JamiiForums 0765 600 009 na atasaidiwa ili yawekwe kwenye mada husika na kuwasaidia wengine.
Moderator
Unakula Pilipili sana? Maana unamatatizo kama yangu kaka ila mimi nilikuja kupima Aghakan nikaambiwa ni pilipili na majani mabichi ya ukwaju nisitafune na nilikuwa nayatafuna vibaya sana majani ya kwaju ila tangu nimeaacha tu sijapatwa na hiyo hali tena kaka try it.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.