pumbavi sana wew..czani kama una akil timamu na umewaz hich ulichosema kwn yawzkan hat elimu uliyonay ni ya mulugo....shnz sana wew hbu jitahid kuhshm elimu na kaz za watu...jiangalie san katk kuandk thread
Hivi ni sahihi kwa wanaume kuogopa kuoa wanawake wasomi, mi nadhani c sahih coz mwanaume kuogop kuoa msomi ni kujivua badhi ya kuw kichwa na kumpa mwanamke...achen uoga oaneni na muapndao ragardless wana stutas gan au vp wakuu
Nape anakiua chama chake jamani, nimeshuhudia maelfu ya wananchi waliokuwa ccm wakijiunga CHADEMA nikiwemo mimi kutokana na kuropoka hovyohovyo hasa kuhusu CHADEMA badala ya kuwaeleza wananchi mafanikio ya chama chake.Kila ninapomsikia mimi asilimia 90 ya hotuba zake ni kuikejeli CHADEMA ,katibu...
Mimi na wenzangu tumeshajiunga CHADEMA baada ya kuona katibu wetu wa NEC itikadi na uenezi nape nnauye anavyoropoka hovyohovyo kila siku kuhusu CHADEMA badala ya kueleza mafanikio ya chama chake kwa wananchi.CCM itasambaratika kabla ya 2015 tofauti na nape anavyoipigia ramli CHADEMA kwani wana...
habari wan janvi,..Awali ya yote namshukuru mungu kw kuzaliwa Tanzania. Kusema kweli nawachukia sana viongozi wangu has kw kuendkeza san maslhi yao binafsi na kusahau kuwa nchi hii ni yetu wote .mfano wanadirik hat kuchkachukua elimu ambayo bas ingetusaidia sis maskin kutokan na umaskin ambao...
hii ndi mitaala ya mulugo na maccm sas kwa vile mtoto wa jakaya kapata sifuri ndo wameona warudie........pouw basi waliofaulu wafeli na walio feli wafaulu...ameena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.