Search results

  1. N

    Walimu wa manesi

    Hbari wakuu Jaman napenda kuuliza kwa anayejua hivi walimu wanaowafundisha manesi wa certificate na diploma wanasoma kozi gan? Natanguliza shukraan
  2. N

    Kigonsera sec school

    nashukuru kwa msaada wako mkuu!
  3. N

    Kigonsera sec school

    Nashukuru kwa msaada wenu lakini mbona bado mnanichanganya kuna anayesema nikitoka dar napanda basi la mbinga halafu nashuka kigonsera stand halafu mwingine anasema nipande basi la songea au kuna njia tofauti?
  4. N

    Kigonsera sec school

    Nashukuru sana kwa msaada wako!
  5. N

    Joining instructions form five lini?

    namba zangu hizi hapa 0759022231 na 0657422206
  6. N

    Kigonsera sec school

    Jamani nimepangiwa cbg kigonsera huko Ruvuma mi niko Dodoma naombeni msaada wenu kwa wanaifahamu hiyo shule kitaaluma,mazingira na anielekeze nitafika vp
  7. N

    Joining instructions form five lini?

    Namie pia kigonsera sec sechool
  8. N

    Kwa waliowahi kusoma au wanaoifahamu "minaki high school''

    sasa hizo joining instruction zinapatikana wapi na muda huo ndo unaenda?
  9. N

    Vitabu vya geography

    nashukuru kwa kunifahamisha, kwani kuna kitabu kimoja ambacho kinakuwa na physical and practical au vinakuwa vitabu viwili tofauti? Na hao zisti na msabila siyo wabongo?
  10. N

    Vitabu vya geography

    Form five
  11. N

    Vitabu vya geography

    Jamani naombeni kuuliza vitabu vizuri vya geography vya advance
  12. N

    Liwale secondary school

    Jamani kwa wanaoijua hii shule wanafundi comb gan naomba anijuzi
  13. N

    Majina ya wavulana waliochaguliwa kidato cha tano

    Jamani nisaidieni kuchek watu hawa RICHARD SIMON, PATRICK LUGANO, PETER PETER na MALENDA NYANGUSI
  14. N

    Hayawi hayawi yamekuwa form v selection hapaa!!!!

    Jamani naombeni mnisaidie kuangalia majina haya hapa RICHARD SIMON, PETER PETER, MALENDA NYANGUSI na PATRICK LUGANO
  15. N

    "Inaniuma..."

    Duuuh! Hii ni zaidi ya inauma!
  16. N

    Wizara ya afya

    anazungumzia diploma huyu!
  17. N

    Wizara ya afya

    Msajali madogo mbona bado mapema hivyo!
  18. N

    Hii ni zaidi ya TOO MUCH sasa tunahitaji selections

    Kwani tukifanya maandamano haiwezekani! Mi binafsi nashauri tuandamane labda ndo watatukumbuka. Au wenzangu mnaonaje?
  19. N

    Form five 2013

    haina noma jembe langu tuendelee kujipa moyo hivyo hivyo!
  20. N

    Form five 2013

    Serikali imewasahau wanafunzi wa kidato cha tano mwaka huu?
Back
Top Bottom