Nashukuru kwa msaada wenu lakini mbona bado mnanichanganya kuna anayesema nikitoka dar napanda basi la mbinga halafu nashuka kigonsera stand halafu mwingine anasema nipande basi la songea au kuna njia tofauti?
Jamani nimepangiwa cbg kigonsera huko Ruvuma mi niko Dodoma naombeni msaada wenu kwa wanaifahamu hiyo shule kitaaluma,mazingira na anielekeze nitafika vp
nashukuru kwa kunifahamisha, kwani kuna kitabu kimoja ambacho kinakuwa na physical and practical au vinakuwa vitabu viwili tofauti? Na hao zisti na msabila siyo wabongo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.