Mara nyingi ili mtu aache pombe lazima imuadhiri na kumuabisha, kuna jamaa angu alikunywa akalewa kupindukia huko zanzibar vijana wa kihuni wakamvunjia mayai mat***ni kuanzia siku hiyo bia anaziona kituo cha polisi. Alisha acha siku hizi anakunywa fanta orange
FL1 ukienda kusoma urusi utakuwa unapiga mswaki na Vodka. Huyo alieolewa na huyo jamaa wa urusi hapo ni bora afungashe maana hataweza kuwa mtumwa wa ndoa. sometimes you need to set your love free rather kuteseka kwenye ndoa kama hizo. Achane na huyo fisadi kwenye ndoa huo ndo ushauri wangu. Mi...
Yaani katika mawaziri waliofilisika kisera ambao sijui kwanini rais hawashushi ni huyu Sophia Simba, hivi hana uhusiano na yule Iddi?? maana Simba wamezidi sasa kutajwa kwenye ufisadi (Nicol)
Richmond imeshamweka pabaya JK, yaani sijui ni mwananchi yupi hajui hili sakata la Richmond labda watetezi waliobaki ni wale ndugu zangu wa Monduli waliowapokea victims wa Richmind kama mashujaa
GP bora ubadilishe tabia yako kimya kimya kuna jamaa angu alijidai kuconfess mama huyoo akafungasha, we kaa kimya kama ulivyokuwa unakula kimya kimya. Nakuhakikishia kwa asilimia zaidi ya 80% itakuwa noma. Japo mi mgeni kidogo kwenye JF
Huyo jamaa ni fisadi wa ngono tu kwa rafiki yako, mwambie amuepuke kama ukoma maana ataweza kumsababishia shida nyingine mwishowe uzae kitoto taahira sababu ya msongo wa mawazo. Kaa nae mbali ulee mimba uzae na mje kuendelea na maisha na mtoto wako tena mzuri kuliko. Siku moja atakuja kumtafuta...
Haki mi siwezi kutumia njia hii hata waf hazipendi. Kwa kuwa tunajua njia zipo nyingi na salama. Raha ya shokishoki ni nyama peke yake. Kwa wenye ndoa na walio waaminifu tu
BUCHANAN - Ni kweli hata takwimu kutoka kwenye kifaa pale muhimbili asilia 47% kati ya 100% ni wanaume wanalea watoto wasio wao, ambao wengi wapo kwenye ndoa.
Kaka aliebakwa - abaki na msimamo wala asimuoe huyo jini.
Mchumba - aache ujinga na ang'ang'anie kwa jamaa ukimkosa hutakaa umpate...
Haya mambo yapo sana katika familia nyingi za kiafrika esp Tanzania hii hii, na sijui kwa nini. Ishi kwa akili kwa vile umeshaliona hilo, wasaidie kwa kuleee kama alivyosema MASANJA, yaani kwa remote.
Musiba umefanya nini? ona sasa dunia nzima inakuelekezea vidole. Haikumstahili adhabu kama hii dada huyu. Inaniuma sana kwani inaonyesha humumpenda kwa dhati mpaka ukatenda hilo. Dunia nzima itabaki inakushangaa daima dumu. Mungu amrehemu BERTHA
Yaani katika kitu ambacho sipendagi kukisikia ni kitu kama hiki cha kwako Geoff. Hebu imagine huyo dada angekuwa dada ako au mdogo wako wa kike ungejiskiaje. Huyo dada anakupenda ndio maana amekuwekea ngumu mpaka kichwa kinakuuma. Nampa huyo mchumba wako tahadhari manake nae akishika mimba yako...
huwa inatokea but in most cases husababishwa na hizi njia za kisasa za uzazi wa mpango. I have a personal experience with my partner and we managed sorting it.
dada. mwambie mambo ya lugha hayataki haraka na asi-give up mapema namna hiyo. kuna msemo unasema - what you think is impossible is always possible. Aendelee kijifunza taratibu and i believe within 6 months to 1 year atajikuja anaongea mpaka matusi yote ya ki-norge. Asionyeshe kushindwa. Naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.