Search results

  1. K

    Sababu za Watoto Wachanga Kulia Mara kwa Mara na Namna ya Kuwabembeleza

    Mkuu PayGOD chukua ushauri wa Kokwemage ni wa mhimu sana, mi wangu anaumwa tumbo na anasokotwa mbaya, taabu nini wadau? ana mwezi na wk moja.
  2. K

    Maiti tisa za mauaji yaliyofanywa na polisi leo Mbeya ziko mochwari

    ngoja nimp ocambo, adabu cku hz hakuna ndan ya vyombo vya dola.
  3. K

    Wapi nitapata pump ya maji inayotumia diesel/ petrol

    Du! Haya materias ni Dinner tosha!
  4. K

    Msichana anatafuta kazi za ndani

    HGs wa iringa balaa, Usiku wanatoweka vyumban! Jaman nowdays hawa watu wameingilia na shetwan. Nimekata tamaa nao!. Glory be to God watoto wangu wazima.
  5. K

    Duh msala nimempa mwanafunzi mimba

    umeniua kwa ceko!
  6. K

    Nani awaoe MASHOGA wa Tanzania?

    daah,ningekuwa J*kwete ningechukua makabrasha fasta na kurudi tz muda huohuo. Hzo ni dharau. Ningefika na kuadress bunge fasta juu ya matusi ya kamerun na hatua gan tujiandae nazo kupinga udhalilishwaji.
  7. K

    Simu inakata stimu!

    Wanajf mabadiliko haya nimeyaona kwa mwaka sasa, toka alivyoanza biashara ya duka la jumla, baada ya six months alianza kutingwa sana na kaz, na kwa miez hii minne ndo balaa tupu. Mara nying mech inachezwa upande mmoja! Leo nimelala mbeya kikaz lakn sijatulia kabisa kiakili!, mke wangu ananipa shda.
  8. K

    Simu inakata stimu!

    mke wangu ni mchaga wa rombo, jaman ninapoandika msg hz ninamtafakar sana, kwan ninamtakia mafanikio pia kwan mafanikio yake ni yangu pia.
  9. K

    Simu inakata stimu!

    Asante kwa ushaur RR, nimevumilia sana kuhusu tabia yake hii lakn mara nyng huwa anacheka,na kusema, pesa hajapata bado, ina maana yy kwake pesa ndo anataka. Niliwah kwenda kwa mshaur wetu kuhusu hili akaja siku moja home kuongea nasi, lakn mwenzangu alimaind sana, akasema hatak kufundisha jinsi...
  10. K

    Simu inakata stimu!

    mkuu hata cmu izimwe,eti atakosa dili ndo maana nkamshaur tuweke silence
  11. K

    Simu inakata stimu!

    jaman network searchng....., available, searchn............., jaman wanawake wafanyabiashara ni balaa tupu! Simu haizimwi,nimechoka naye, ugomv wetu ni cmu, uko uwanjan hajal ni kona, goalkick, au ...yeye utackia kesho utawah folen ya sukari?, viroba leta nane!,jaman inatisha, ugomvi unaanza...
  12. K

    Padri Amkimbia Muumini...!

    ya longi sana! Mpaka ilishachuja.
  13. K

    Naongea kwa Uchungu..ngumu kumesa lakini dawa.tuige kazi tusiige matumizi

    aisee yaan jana nilipita maeneo ya kindoroko,soko la kati Mjini mosh, nikakuta bonge la vurugu, nikasogea kwa fund cherehan nikauliza kulikon? Akaniambia SUKARI inauzwa hyo. Tpc wako 10km toka eneo hilo.kwel serikali yetu haijali raia wake!
  14. K

    Enzi ulipokuwa boarding

    umenikumbusha Kanta,ilikuwa balaa,mpaka leo nikiangalia uso wangu nakumbuka sekeseke!, unapewa tsh 5, uende chanji kuleta sukar 1kg, na maandiz mfuko! We acha tu. Niliwapelekea mchanga kama 2kg hv, jamaa walishuka ka mvua kutoka kwenye vitanda juu, nilipokea kichwa cha mgosi mmoja,mpaka leo ni...
  15. K

    Naelekea India nitawajuza hali ya Mwakyembe bila unafiki!

    Muongo, anatafuta sifa, yangu macho. Taarifa zake c za kweli.
  16. K

    Boss na sekretari matata

    hahahaaah! Umenipa raha ndan na nje!
  17. K

    Naelekea India nitawajuza hali ya Mwakyembe bila unafiki!

    Jb mhuni! Anawadanganya wanajf kama dolindo! Kweli uliwapata watu. Majisifa tu anatafuta. Si ajabu akawa maeneo ya tandale kwa tumbo,badala ya kuwa na msafara india.
  18. K

    More than serious nahitaji mume wandugu

    Unalipa?,mambo ya reception, front view, side na back view! Je we ni kabila Gani?, una muda gan umemjua Mungu? Nilitaka nikachukue wa R4M,sasa kumbe na huku mpo.kwa ujumla mim ninatafuta watu kama nyie,lakn mi nataka ndoa ya wake 2, mmoja hanitoshi. Je utaweza kuniruhusu kumleta Precious wa...
Back
Top Bottom