Huyo CAG kwenye report yake alificha mambo mengi nakuwaacha watu njia panda kama fedha ni za umma au iptl,leo amekwisha staaf ndio anasema fedha zirudi kwanini hakuweka wazi kwenye report yake
akae kimya, alipokua kwenye system hakusema fedha zirudi leo ndio anaongea baada ya kutoka kwenye...
Kwa wale wanaopenda kuendelea na masters, Mchongo wa scholarship mwisho 12 March9 (pdf attached for more details)
MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING CHINESE GOVERNMENT SCHOLARSHIPS 2014/15
Applications are invited from qualified Tanzanians for Masters and Doctorate programs tenable...
Kwanini SSRA ikubali kuwalipa mafao wafanyakazi wa GGM na sio wafanyakazi wote ambao wako kwenye mifuko ya jamii?
>>>>>
Kumb. Na. CB.75/396/VOL.II/16 DATE: 30/07/ 2012
Meneja Mkuu,
Geita Gold Mining Ltd,
P.O.Box 532,
GEITA.
YAH: UFAFANUZI WA SSRA KWA WAFANYAKAZI WA MGODI...
Wabunge ndio waliopitisha wakishirikiana na wadau mbalimbali,
so wakulaumiwa ni wabunge wetu kwakupitisha sheria mbovu kama hii, wote wa CCM na upinzani walipitisha
na Raisi amekwisha saini.
Jitihada zaidi zinahitajika ili kudai haki yetu kwasababu miaka 60 ni mingi sana
SSRA Wizi mtupu, mafao hadi ufikishe miaka 55 au 60
UFAFANUZI KUHUSU FAO LA KUJITOA KATIKA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA
MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII.
1. Kama mtakumbuka Sheria za Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pamoja na Sheria ya
Mamlaka zimefanyiwa marekebisho na kupitishwa na Bunge tarehe 13...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.