Kuna wakati maamuzi mengine yanashangaza kidogo au Sana!! Sijajua basata Huwa inawaogopa Bongo favour au vipi!?
Juzi Wizara ya Elimu imekuja na azimio la kukataza nyimbo zisizo na maadili kupigwa kwenye mabasi ya shule!! Amaa!!!, kumbe mnajua kuna nyimbo zisizo na maadali? Kwanini, msizifungie...
Hakika hili nimelifanyia uchunguzi ni nimejiridhisha pasipo na shaka. Walimu wengi wana fani mbili mbili yaani ualimu Kisha fani nyingine hasa wa sekondari, wapo kimtego mtego.
Fani walizo zisomea wengi Uhasibu, Procurement, BA economics, Human Resources, Sheria, clearing & forwarding nk...
Ndugu zangu watanzania, hali ni mbaya tena ni mbaya Sana, ukosefu mkubwa wa ajira ni kichocheo Cha uhalifu na hatari Kwa usalama ya nchi!! Nchi kama Nigeria ni mfano dhahiri wa hili tatizo, ukosefu mkubwa wa ajira umepelekea vijana wenye nguvu na wasomi kujiingiza katika uhalifu wa kuteka watu...
Kweli kama Kuna mtu hajajifunza hili tajwa hapo juu kuanzia 2015 -mpaka Sasa atakuwa na tatizo kichwani!?
Binafsi ,nimejifunza mengi mno mno!! Haya yanayotokea Sasa hivi miaka kadhaa hakuna aliyeystegemea ,watu walijaa viburi ,ukatili ,ubabe,utemi lakini Leo hawapo na wamepotea kabisa?
Nani...
Kwanza na declare interest Mimi sio mpenz wa soka kabisaa!!! Mimi ni mfuasi wa live band, old school bolingo, na mzik wa zaman wa hapa Tz.
Ila jamaa zangu wengi na wafuasi wa simba na Yanga.
Jana,26/12 nilikaa mahali nakunywa soda yangu !!!! Ilikuwa mechi ya Yanga vs Biashara FC.
Kiukweli...
Kama kuna kipindi watumishi wa umma hawata sahau katika historian ya Tanzania ni 2015 - 2021!!!
Hakika kilikuwa kipindi cha dhiki kuu ambayo haikuwahi kutokea!!!
Serikali ilishindwa kabisa kuongeza watumishi mishahara ambalo ni suala LA kisheria kulinga masuala ya utumishi!!!
Dhuluma hii...
Miaka 60 ya Uhuru hiyooo!!! Hakina ni safari ndefu na mengi yamefanyika ila tusemezane ukweli bado,bado tupo mbali ( nyuma).Tambo za wanasiasa hazisadifu hali halisi!?
"Tukitaka kujifananisha tujue tumekimbia kiasi gani ,tutazame walifanikiwa " je !?? Wao wametumia njia zipi!?
Nikweli tuna...
Kiukweli wahenga hawajawahi kukosea kila walichokisema hutokea
Mfano!!! Ivumayo haidumu,Ngoma ililia sana jua inapasuka!!! Mbio za sakafuni huishia ukingoni!!! Na mingine mingi tuuuuu
Sasa sisi wazee wa legacy tupo hoi!!!
Kwa sasa kila jiwe lina geuzwa "juuu chini chini juuu" tatizo nn! Mbona...
Nilikuwa napenda sana kujiunga na kuangalia taarifa za kimataifa kwa kuwa ni wadadavuaji wazuri wa habari za kimataifa kuliko TV station yoyote!!!
Pia nilikia naangalia BBC Swahili kupitia wao kila SAA 3 Usiku
Ajabu hawapo hewani siku ya tano Leo!!!
Huenda kuna kubla zaidi LA kushitua laja ndani ya nusu mwaka ujao naomba tutunze kumbukumbu!?
Kuna watu wanadhani hii nchi ni Mali yao au wao wanahaki kuliko wengine!
Wanateketeza wezao ili wao na familia zao waneemeke!!! Narudia.
Huu ni utabiri wangu na kama unawajua waambie!!! Ni muhimu...
Napenda kuushauri uongozi wa ITV ipigane kufa na kupona ipate hii deal ya kutangaza BBC Swahili kila SAA tatu usiku
Star TV hawatoshi Mara kwa Mara hawapo hewani!
Nasoma vyombo mbalimbali kwamba aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar wakati wa awamu ya tano atafunguliwa mashitaka kwa matumizi mabaya ya ofisi! Iwapo itafunguliwa kesi hii iatakuwa ni ya pili Tangu Rais jpm afariki!
Chakushangaza na kusikitisha marehemu au mamlaka za uteuzi wakati wa marehemu...
Kiukweli Tanzania bila kukaa na kutafakari kwa kina tutsjikuta tunapiga mark time miaka nenda rudi na kujidifu kwa maendeleo bandia.
Najaribu kutazaa yanayojitokeza baada ya kuondoka kwa Aliyekuws rais wa awamu ya Tano.
Kiukweli Mh alijenga nidhamu ya uoga!!! Walinyima watu kufikiri na kutoa...
Rejea kichwa cha habari husika!! Tulikua tukijiuliza mbona wasomi wetu ni choka mbaya up stairs!?
Sasa jibu liko wazi kabisa ni shahada au degree za chupi au akina kaka wao kuna uwezekano mkubwa hutoa hongo ya pesa wakati Dada zao ni wazi hutoa penzi.
Ninapendekeza kuwa ni wakati muafaka sasa...
Nawashauri hawa majaji wajaribu kuwa fair kidogo kwa hawa washiriki ,binafsi nachukizwa sana na kumkatisha mshirika tamaa wakati akiwa ameimba mstari mmoja tuu wa walochotaka kuimba
Kiukweli kwangu mm binafsi naona haipendez kabisa kwan mnatia watu uoga na kuwakatisha tamaa
Salama ,Madam Rita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.