Unataka Kwa akili ya Nini!? Kuna waliospecialize kwenye fani mbali mbali
1) kesi
2)kumdhuru mgoni
3) kumdhuru mwizi wa Mali Yako
4) kuzuia wizi nk
Nb SEMA unataka yupi tukupe namba!??
Usikubali kuonewa na mtu
Mungu amewapa watanzania ngombe,mbuzi, samaki,kuku ,bata,kondoo,mbuzi katoliki samaki wa maji chumvi na barid!! Dagaa nk !!! Unaaacha vyoote unakula Kobe " kasa" !???
Naomba nisisikitike
Humu jf Kuna watoto wengi Sana akina Mpwayugu ambae huwatukana walimu !!mtu anakwambia kwenye mining industry engineer aliyetika UD analipwa million 23 Huwa nacheka sana
Kuna wakati maamuzi mengine yanashangaza kidogo au Sana!! Sijajua basata Huwa inawaogopa Bongo favour au vipi!?
Juzi Wizara ya Elimu imekuja na azimio la kukataza nyimbo zisizo na maadili kupigwa kwenye mabasi ya shule!! Amaa!!!, kumbe mnajua kuna nyimbo zisizo na maadali? Kwanini, msizifungie...
Huwa najiuliza nikiona apple [emoji519] za nje zinauzwa Tz ,vitunguu na matikiti majinya Tz yanaozwa Kenya Kwa wingi tena nasikia Kenya Wana export hayo mazao Yani vitunguu,matikiti,na machungwa Kwa wingi kutoka Tanga to Nairobi then Europe kinachonifanya nijiulize ni hiki!!
1) kwann tiss...
Biashara hazina uhakika ndugu amin na kwambia tumefanya tukaona Kodi ,garama za uendeshaji,ushindani ni kubwa mno mno ni ngumu kupata hizo faida unazo Dhani!!ndio maana watu wanauona bora kuajiriwa Kuna taasisi za serikali Zina mishahara mikubwa Sana mpaka mil 10 bado Kuna access ya mikopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.