Hakuna uchawi hapo, ni matukio yanayofanyika kwa haraka na ustadi mkubwa zaidi. Hiyo dove illusion imefanyiwa reveal hapa, unaweza kuona step by step
https://youtu.be/hnkpU27uTp0?si=hk-A-FqmQRGSLjhh
Kuna nchi zinaongea kiingeleza safi kabisa kama
1. Malawi
2 Zambia
3. Uganda
4. Ghana.
Wako hoi uki compare na Tanzania. Mzee kama umefeli ni tatizo lako. Usitafute excuse. Hawa wamalawi sikuhizi bongo wamegeuzwa ma house girls/boys kwa sababu ya hiyo lugha waongee na watoto.
Umeshamaliza kila kitu, uwelezaji aliofanya azam hapa ni mkubwa na ni matarajio hata charges zao zitakuwa hivyo, pia ni strategy ya kuingia kwenye soko husika hata hapa Tanzania wakati wanaanza walikuwa na gharama za choni sana
Tatizo ni jamii ina watu wachafu sana, yaani unajiuliza hapo kuna doctors na wauguzi wanashindwa hata kusafisha fridge. No wonder same hospital ingejengwa moshi muonekano ungekuwa tofauti kutokana na haiba ya watumiaji wa hiyo hospital
Kwa hiyo unatakaje, unataka rafiki yako arudishwe kwao? Kama wanafanya kazi zao bila bugudha kinachokuuma nini, au na wewe unafanya kazi za ndani unahifia ajira yako?
Au ndugu mleta mada unahisi zile mechi na zalan na hilal zilikuwa ni club bingwa, zile zilikuwa ni preliminary stage ambayo angemfunga al hilal ndio angeaingia club bingwa.
Alikuwa mke wako umeachana naye, akiugua inaweza isikuhusu ila watoto wako itawahusu. Muache aendelee kuitumia kwa faida ya furaha ya watoto wako
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.