Huyu jamaa alitubana Sana sisi wana ukawa mwaka Jana, alikuwa anajipendekeza ccm ili ccm ishinde, alidiriki kuwaweka hadi wanachadema ndani, ss hv wote tupo sawa. Pole sn Kijana mwenzetu, hyo ndo ccm aka chama cha kindugu.
Inashangaza sana kuona kuna watu katika utumishi wa umma ambao ni Maafisa Tawala, wengine ni Maafisa Tarafa, wengine ni Makatibu Tawala wasaidizi mikoani wakibaki bila kujua vyeo vyao kimuundo vitakuwaje.
Na je wakifanyiwa promotion wanakuwa kina nani? Maana nafasi walizokuwa wanatakiwa...
DAS ni mtumishi Wa umma na huwa ni nafasi ya uteuzi inayopatikana kwa njia ya promotion kwa maafisa tawala wasaidizi mkoani, au maafisa tawala Wa wilaya au maafisa tarafa hawa wote wanaweza kuwa promoted kupewa UDAS, na Mara nyingi elimu yao huwa haitakiwa kupungua shahada ya pili. Ila kwa mtu...
Mtoa mada mpumbavu kabisa, kwani ww ukiuza nguo zako za ndani za mkeo mkanunua unga kuna mtu atakuuliza?, Tafuta chako mtoto wa kiume ww Lubeleje akiuza nyumba ni yake tu ww unawashwa nini?, Huyo Teu wako pikipiki zake anazopanga kuwaletea vijana wetu kama mwaka 2010 ili baada ya uchaguzi...
Ninawasiwasi sana na Elimu yako, kwanza hujui nini maana ya haki ya mwanachama wa chama flani, pili yeye mwenyewe mgombea ameamua kugombea aachwe agombee, Tatu TEU ameleta mavi tu kwenye jimbo kwani kaahidi Minara hasa kule lupeta hamna kitu, kaahidi maji kuwa mengi Lupeta hamna kitu, Kaahidi...
mm mwenyewe nipo Dodoma namshauri pinda aachane na masuala ya kugombea uraisi kupitia chama chetu cha mapinduzi maana atatuaibisha kwa ufikiri wake mdogo.
Mimi nadhani nyinyi ndo sio wazima kwasababu mngekuwa wazima msingewachosha watoto wa shule ili muonekane mko wengi. Kuonyesha kuwa hamna akili kabisa siku moja kwenye kampeni zenu za serikali za mitaa kigamboni huku somangira mlikuwa mnafanya kama mliofanya songea yakujaza hadi wanafunzi wa...
Waziri Mkuu Amesema Leo Bungeni kuwa ni Sahihi Watoto wa Shule kutumiwa na CCM kwenye shughuli za Kisiasa
Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda amesema kuwa ni halali na ni sahihi kutumia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari (watoto wa shule) katika shughuli za kisiasa.
Pinda ametoa kauli...
Kama unaamini kuwa UDSM ni mafisadi basi hata vyuo vingine watakuwa wamefundishwa na mafisadi maana madokta, maprofesa na walimu wengi wa vyuo vikuu wamesoma UDSM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.