Tutaelewana tu kadri siku zinavoenda. Sa ivi Ni Kama Mpira umerudi Kati. Tunaanzia Tena.
Si unajua mwendazake alivuruga Sana upinzani mpaka.wananchi wakakata tamaa Kufatilia shughuli za kisiasa
UPELEKAJI WA VYAKULA ( MAZAO) Sudani ya Kusini ndio kwanza wanaanza kuijenga nchi yao, wanachangamoto nyingi, sisi tunaweza kuwasaidia kwa maana ya kuwekeza na kwa kufanya biashara. Kwa mfano wale wanakula sana chapati, hawana ngano, tunaweza kuwauzia ngano, wanahitaji mafuta ya kupikia tunayo...
Niliwahi kusema na leo narudia tena. Pamoja nza mdhaifu mengine ya kibinadamu ambayo kila mtu anayo; Mbowe ni kiongozi makini sana kuwahi kutokea Tanzania. Moja kati ya sifa nyingi za kiongozi bora ni Kutokuwa na "kinyongo" kwa watu wanaokutenda ubaya; watu ambao wewe ndo uliochangia kuwa...
Katika dunia ya sasa huwezi kutoboa kama hutafungua milango ya ushirikiano kiushindani. Ishu hapa nimasoko ya bidhaa na hapa Lazima tukubali.
Watanzania tukue sasa kimtazamo miaka 60 ya uhuru bado tuna uwoga wa kujichanganya na wenzetu hata kama wao wametutangulia?
Sidhani hapa kama kuna ukachero wowore wa Membe kama unavyodai
Ushindi umetokana na nguvu ya mgombea wa CCM na sinvinginevyo,, hata kuna makandokando mengi ya kiuchaguzi ila tukubali tukatae JPM was a stronger candidate kama alivyokuwa TL na ana deserve ushindi alioupata
Nadhani kwenye mambo haya tussingize siasa eti kwa kuwa kuna uchaguzi! Maadam ameonyesha nia ya kulitatua hili suala ngoja tuone maana hata asipofanikiwa kuwa rais yeye ni mwanasheria anaweza endelea kulishughulikia
Prof.Shirima A.k.a Mabenzi aaah jamaa alikuwa akikufundisha somo la Building Materials daah utazani kavumbua yeye.Bila kusahau prof.Msambichaka mtaalamu wa Theory of structures
Isaya 32:17 Nanukuu
"Matunda ya haki yatakuwa amani, matokeo ya haki yatakuwa utulivu na matumaini milele."
Hili andiko kwenye Biblia Takatifu lipo wazi Mwenye Sikio la kusikilia na ASIKIE.
cc:NEC
MBARIKIWE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.