Sijui asili ya majadiliano haya, lakini kwa mtazamo wangu wengi wa viongozi waliopo madarakani, na pia wanaofanya mambo makubwa sio lazima wawe wana hayo madegirii ya masters and doctorates. Ni kweli elimu inatakiwa, lakini alimu peke yake haina maana. kuna madokta wengi na maprofesa, lakini sio...
What do we need so as to be efficient and effective in education sector in Tanzania?
Today, I want to contribute four pointers as recommendation to my beloved nation Tanzania.
The first, good behaviour among the students and staff in our educational institutions.
Secondly, we need strong...
Nakubaliana nawe Kamilah, ushauri wako ni mzuri nami naungana nawe kuwa: "kanumba ushauri wa bure kwako, kama ni lazima uwasiliane na watu kwa kiingereza tena kikiwa kwenye maandishi, baada ya kuandika kwanini usiwape watu wanaojua vizuri hiyo lugha wakusaidie kukurekebishia kuliko hii aibu...
Kenya is still miles ahead of Tanzania
Dear my friends Tanzanians, I salute you all.
The report about Kenya competitive capacity has attracted my attention. I am in Kenya right now, and I have stayed here for five years consecutively. It is true that some few Kenyans are very rich, but majority...
Namshukuru mwndishi wa makala "Ubaya wa Nyerere" kwa kueleza alichoelewa na kujisikia kuhusu kiongozi huyo ambaye ni baba wa Taifa la Tanzania. Unaweza kujua Mgongo wa mtu bila kujua uso wake, ukamtambua hata akitembea mbali au usiku wa giza totoro. Lakini pia ni vema ukajua uso wake, Huenda uso...
"Our real problem is not our strength today, it is rather the vital necessity of action today to ensure our strength tomorrow."
This statement is too sweat, but it is difficult to be understood by common mwanachi. You can write a book about it. I wish it could be explained or be expounded...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.