Search results

  1. Mwanamaji

    Mirathi ya Kobe Bryant yazua gumzo USA, utajiri wote wagawanywa kwa mke na watoto huku wazazi wakiishi kimaskini

    Inawezekana ulikua na lengo zuri, lakini ulichoposti hapo sio KOBE. Huyo ni KASA. Haya turudi kwenye mjadala sasa...
  2. Mwanamaji

    Kwanini Waafrica wengi waliokua brainwashed wanaamini Kupunguza Idadi ya watu ndio suluhisho la umasikini??

    Rasilimali nambari moja ni akili. Taifa linaweza kuwa na watu milioni moja na likaendelea. Taifa linaweza kuwa na watu milioni moja na lisiendelee. Taifa linaweza kuwa na watu milioni sitini na likaendelea. Taifa linaweza kuwa na watu milioni sitini na lisiendelee. Akili.
  3. Mwanamaji

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    1. Kama anataka kwenda serikalini anatakiwa KUACHA KAZI hapo alipo sasa (NMB). 2. Kama hataki au hayuko tayari kuacha kazi hapo alipo, maana yake hataki kwenda kufanya kazi ya mchumi aliyoipata serikalini. Kinachojadiliwa hapa ni faida na hasara za kuchukua maamuzi namba 1 au namba 2 hapo juu.
  4. Mwanamaji

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mchumi wa wizara (ya mifugo na uvuvi) hawezi kupelekwa "ndanindani" (uswekeni). Huko ndanindani wanapelekwa wenye wizara yao (maafisa uvuvi na maafisa mifugo ambao wako chini ya wizara). Pili, ajira za benki ya NMB sio ajira za serikali, hivyo mtu huyo tajwa hapo juu hawezi kuwa na hiyo "check...
  5. Mwanamaji

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu... Hiyo Astashahada (elimu ngazi ya certificate) unayo ? I mean ulianzia Astashahada (certificate) ukaenda stashahada (Diploma) hatimaye Shahada (bachelor) ?
  6. Mwanamaji

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu kuna ka ushuhuda kengine hapa. Sitaki kusimulia historia yangu ndefu na hawa PSRS tangu zama na zama, mikando, safari za maumivu n.k maana nitawachosha. Mnamo mwezi Januari mwaka huu nilifanya interview ya laboratory scientist pale UDSM (written na oral), lakini sikubahatika kuilamba...
  7. Mwanamaji

    Ibrahim Traoré wa Burkina Faso na wafuasi katika chungu kile kile cha fikira haba kuhusu maendeleo

    Rasilimali nambari moja ni AKILI. Nadhani hao "wenzetu" wametuzidi hapo.
  8. Mwanamaji

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu kachukue barua yako Jumatatu hadi Ijumaa kati ya Saa mbili asubuhi na saa tisa unusu jioni. Asante.
  9. Mwanamaji

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwahiyo tumekubaliana kwamba hili suala la placement kucheleweshwa tumemwachia Mungu ?
  10. Mwanamaji

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    There you are. Mtetezi wa watesi. The same game as always.... BLAME THE VICTIM. Haya mkuu hongera sana kwa kuandika "madini".
  11. Mwanamaji

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu wala hata usishangae sana. Watanzania sisi tuna kawaida ya kushindana kuteseka. Naona wadau hapo wanaonyesha kwamba wewe hauna haki ya kudai Placements kwa haraka kwa sababu wewe "haujateseka sana" kama waliokutangulia kufanya interviews. Unajiuliza hivi lengo la mtu kama huyu ni nini...
  12. Mwanamaji

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera na kila la kheri katika utumishi wako mkuu
  13. Mwanamaji

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakati huohuo mzee mzima IT kwenye moja na mbili leo kaamua kuwa mbele ya muda. Karuka na tangazo la tarehe 1 mwezi wa 8 mwaka 2023. Bila shaka hii ndio ile "dalali Mboneke" huwa anasema TUONANE MWEZI UJAYO
  14. Mwanamaji

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna mlamba asali anatafutwa na mwajiri wake huko kwenye makundi ya wasap. Kama kuna anayemjua tafadhali sana tusaidie kama bango linavyojieleza. NB: Forwarded many times.
  15. Mwanamaji

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu, unataka kusema mashabiki wa timu moja hawatakiwi kutofautiana mtazamo juu ya jambo fulani ?
  16. Mwanamaji

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    "Taratibu" za kufanyaje mkuu ?
  17. Mwanamaji

    Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

    Hahahahaaaa..... wanakuja "kupokea uponyaji" kwa foleni.. daah
  18. Mwanamaji

    Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

    Inapendeza kila mtu akibeba msalaba wake, mambo ya "laana za mababu" sio haki kwa kweli
Back
Top Bottom