Habarini wana Jf Doctors...
Nahitaji kujua sababu zipi hupelekea mimba kutokutunga.
Nikimaanisha mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28 ambao haubadiliki mara kwa mara ...
Ambae amejaribu kupata ujauzito lakini hapati.... tatizo ni nini.
Habarini za masiku mengi wapendwa natumaini mko vizuri...
Madaktari na wadau wa hili jukwaa naombeni msaada wenj katika hili.....
Mwanangu anasumbuliwa na kitovu.. tatizo ni kwamba kinatoa maji ambapo huambatana na maumivu jaman mtoto anapata shida sana...... akianza kulia ndio kabisaaa...
Habarin ndugu zangu.........
Nataka kujua hii iko vip, inasababishwa na nini, na nin madhara yake bila kusahau tiba yake.
Nina jirani yangu ana mtoto wa mwaka mmoja na miez tisa anasumbuliwa na tatizo hili, mtoto anapumua kwa shida pia ana mafua yasiyoisha katika kumchunguza kagundulika na...
Habarini za usiku humu ndani bila shaka mko vizuri.
Kumekuwa na malalamiko mengi humu ndani kutoka kwenu wanaume, sijui niziite lawama ama nini hata sielewi lakini hamuishi kutuongelea, ati wanawake tunalazimisha kuolewa huku mkijua fika kuwa mwanamke na kuolewa ni muhimu.
Sasa jamani hamtaki...
Habarini humu ndani heshima kwenu.
Niko na mtoto ana miezi 7, mara nyingi huwa anapaliwa mate akiwa usingizini na hali hii nimeigundua siku tatu zilizopita. Sijajua hii hali inasababishwa na nini.
Je inaweza leta madhara yoyote?
Na je inasababishwa na nini?
Vipi jinsi ya kuepukana na hii...
Habar ya jion wapendwa bila shaka mko poa
Hapa nimekuja na hii mada ya hawa wanaume zetu.
Kuna hii kitu huwa inaniboa sana eti wao wawe wanabembelezwa weee ndio wanachotaka asa hawajui kama kuna mambo mengi ya kufanya na sio kubembelezana. Inasemekana nyie wanaume mko wachache eti....
Kwaio...
Wana MMU habari zenu.
Nijulisheni ulazima au umuhimu wa mwanaume kukata kiuno kwenye game. Mimi binafsi naona anazingua na kuniondolea mood in short nakereka kwa kweli.
Najua mapenz hayaingiliwi jaman lakin kwa jinsi ninavoumia haielezeki kama mimi ndio nafanyiwa hivi.
Rafiki yangu wa karibu(msichana) ni ziad ya karibu yan ni kama ndugu na tunapendana sana anateswa na kutendwa mara kwa mara na mpenz wake na wakiachana wanatukana na kutoleana kashfa lakin baada...
Habarini za asubuhi wapendwa wa JF natumaini mu wazima.
Nahitaji msaada wenu juu ya hili tatizo nini kinasababisha kichwa kuuma sana hata ungetumia dawa tatizo liko palepale inafika kipindi unaboreka sana na kukosa amani.
Msaada tafadhali.
Habarin wana jf naombeni nisaidiwe anaejua dawa ya hili tatizo....
Nina tatizo hili mwezi sasa unaisha napata shida sana ktk utokaji wa haja kubwa yani choo huwa kigumu sana nilipoenda hosptal nikapewa dawa na kuambiwa niwe nakunywa maji mengi na kula matunda kama ndizi papai na maembe nimekuwa...
Mimi ni msichana umri miaka 24 nina mpenz ambaye yuko mbali na mim tumekuwa hatuonani kwa miezi mingi sana na kuna kipindi hata mwaka unaweza kuisha hatujamit au kufanya mapenz sasa tabu nayoipata ni kwamba nina kuwa na nyege ambazo sijui pa kuzitolea coz bwana mkubwa yuko mbali ikifika kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.