ki ukweli biashara ya rejareja inasumbua kuna vitu kama chuma ulete.mtu anakuja na hela akishanunua anaondoka na hela zingine kimazingara akili kichwani kwako dada utafukuza wafanyakazi wengi kwa mtaji huo
labda wapige maarufuku matumizi ya pikipiki si wote wanaofanya uhalifu wa pikipiki ni bodaboda.majambazi wanatumia fursa ya urahis wake kutekeleza mambo yao
kuna kampuni zimeingia mkataba wa utafiti wa mafuta na gesi zipo mkoani morogoro wananchi tumeambiwa tuwape ushirikiano ni kwa faida ya nani?au wenzetu wamefaidika nini mtwara
wadau miaka ya nyuma kidogo serikali ilifuta kulipia leseni za biashara ndogo chini ya milioni saba kila mwaka .baada ya bajeti hii huku kilosa afisa biashara ametangaza leseni ndogo zisizo na mwisho .zimekwisha muda wake.zilipwe upya kwa mwenye uzoefu haya mambo nikweli?naombeni mnijuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.