Tcra mmekuwa mkiendesha vipindi katika vituo mbalimbali vya habari juu ya ujio mpya wa teknolojia na kuwasihi wananchi ya kuwa wana haki ya kupata habari kwa mujibu wa katiba ya tanzania, ninachoshangaa ni kwamba makampuni yatakayokuwa yanarusha vipindi ndani ya nchi wanatakiwa kupata taarifa...
Tcra mmekuwa mkiendesha vipindi katika vituo mbalimbali vya habari juu ya ujio mpya teknolojia na kuwasihi wananchi ya kuwa wana haki ya kupata habari kwa mujibu wa katiba ya tanzania, ninachoshangaa ni kwamba makampuni yatakayokuwa yanarusha vipindi ndani ya nchi wanatakiwa kupata taarifa bure...
Mimi ni mwalimu kinachofanya elimu yetu kudorora kiasi hiki ni ugawanyi wa madaraka kwa watu wasio na sifa, pia kupuuzwa kwa walimu katika mambo mbalimbali yakiwemo maslahi yetu, kutoshirikisha walimu katika uandaaji mitaala na mambo kadha wa kadha. Naomba wanjf tuungane na mh mbatia na mh...
Mie pia nimemshangaa huyu mchangiaji kwa kupendekeza jinsia iwe tunu kwenye rasmu yetu ya katiba, nadhan kaishiwa point ndio maana kaingiza hako kapoint. Masikini sie watz lakitatu zetu hizooooo! Mikononi mwa wanaojali matumbo yao tu.
Wadau wa king'amuzi cha zuku naomba kwa umoja wetu tuipongeze hii kampuni ya zuku kwa kuwa sikivu juu ya ombi la sie wateja wake wa zuku baada ya kutuwekea ITV na tunatarajia watatuwekea STAR TV hivi karibuni. Nawapongezeeni sana kampuni ya ZUKU.
Ndugu zangu wana jf, mie nina simu aina ya blackbery 9780 na ningependa kutumia katika internet lakini nachemka namna ya kuunganisha, nawaombeni mnitoe porini ili nije barabarani tafadharini sana.
Sasa tuseme ukitaka kuboresha elimu ni kupanua wigo wa alama za ufaulu ama kubana viwango vya ufaulu na kuboresha sera zenye tija kwa mlengwa yaani mwanafunzi na taifa, ninapata mashaka kuona uamuzi wa baraza la mitihani kama lina nia ya dhati juu ya uboreshaji wa sekta ya elimu, lakini...
Nadhani tukitaka kuboresha elimu ya watanzania tuanze kuangalia sera ya elimu pia ubora wa maudhui ya vitabu vya kiada hali kadhalika tuweke mipango yenye manufaa kwa watanzania ikiwemo suala na kuondoa na kumaliza kero mbalimbali za walimu na si serikali kufumbia macho kero za walimu. Pia...
Hii BRN yenyewe haijapangiwa fungu, hivo basi kuna mambo mengine yanahitaji fungu la fedha lakini inashindikana, mitihani iliyoandaliwa mwaka jana kama utekelezaji wa BRN haikuwa na ubora, ilikuwa na mapungufu kibao, mfano hesabu za kirumi kwa drs la tano wanatakiwa kujua mpaka mia moja [c]...
Du! Mwisho wa dunia umekaribia ndio maana dada zetu wameamua hata sehemu takatifu kupageuza sehemu ya kujitangazia soko lao. Lakini mleta uzi kumbuka hata kipindi yesu amekuja aliwahi wafukuza watu waliokuwa wakifanya biashara kanisani.
Nathubutu kusema waziri wa chakula na ushirika kalala usingizi wa namna gani baada ya wananchi wake wnapouziwa mbolea za kupandia zinazosadikika ni fake, mfano dap iko ya aina mbili yaani primium mifuko yake ni ya buluu na kwa ndani ni nyeusi bei yake ni 67000 kwa mfuko na nyingine iko chapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.