Nadhani pale Ruvu Darajani ndio point ya mwisho ya kuwindana, zamani ilikua ukiimaliza Mlandizi tu tayari upo salama. Ila kwa sasa baada ya Ruvu huko mbele kiatu tuuu, ukishaivuka Chalinze ndio kabisaaa waleteee wewe unadili na taa za wanaokuja na vicheche tu. Barrier moja tu pale maeneo ya...
Huko kwingine kooote fresh, uendeshapo unaconsult mirrors zako kila baada ya muda gani?? Mimi kila sekunde chache nacheki mirrors zote (side na driving) Ni muhimu sana wakati wote uendeshapo, iwe highway ama hata mjini. Kwa kucheki mirrors frequently ni rahisi kutambua uwepo wa watumiaji wengine...
He he he, tahadhari ni muhimu sana. Next trip utapazoea, mahesabu yakikuruhusu utatembea. Kuna muda wajikuta unachoka kukaa nyuma ya malori na ukicheki kuleee wanaopandisha kweupee (ni salama kutoa)
Wewe ni wa Bagamoyo ~ Msata ~ Wami zaidi ama Mkuranga ~ Rufiji ~ Somanga ~ Lindi??
Kwa sie night riders mist of the times, pazuri kunyoosha mgongo before kuendelea na safari baada ya hizo 180+Kms drive
Poor them, pole yao. A major loss kwa pump attendant aisee. Ila Elfu 70 anawekaje before kucash in? Next time ni heri wakati mzigo unaendelea kupanda asogee zake dirishani kudaka chake kabisa
Kwa sasa ujuzi wa kuendesha gari ni ujuzi wa msingi kabisa kuwa nao kama tu kutumia computer, kuongea lugha mbalimbali za Kimataifa n.k Hujui ni siku ipi huo ujuzi utakufaa wewe ama jamii ikuzungukayo. Jifunze sasa, magari ya mazoezi utayaona ukishafuzu na utajishangaa why 'umechelewa'...
Hivi hii road mkandarasi yupo site kutia lami ya kwenda kutokea Lupembe Njombe ama bado mipango ipo kwenye makaratasi tu?? Hali yake kwa sasa ni vipi, yaweza pitika na gari yoyote ama namna gani?
Moshi Jacaranda zipo pia, ukitoka YMCA ukashika njia barabara ya Shanty Town hii ya CCP inayopitiliza mpaka Junction ya hapa karibu na Uhuru Hostel ipo mingi tu. Pia around Shanty Town humo kwenye mitaa kadhaa ipo. Arusha pia in some places ipo, na hii ndio miezi yake ya kuchanua
Ni Hotel ya Kilimanjaro Express. Nadhani akiresume safari za Dar ~ Mbeya ~ Tunduma ndio itaanza kuwa operarional kama bado. Ila ki miundo mbinu kila kitu kipo on point tayari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.