Tandahimba ni moja kati ya wilaya tano Tanzania yenye uchumi mkubwa. Karibu 60% ya korosho zote zinazozalishwa Tanzania zinatoka wilaya ya Tandahimba hivyo uchumi wa mtu mmoja mmoja ni mkubwa sana. Ni wilaya changa ambayo zamani ilikuwa ndani ya wilaya ya Newala lakini imepiga hatua sana...
Ni moja ya wilaya katika mkoa wa Ruvuma ambayo kijografia inapakana na mkoa wa Mtwara ususani wilaya ya Nanyumbu. Zao kuu la biashara ni Korosho pia kuna madini mengi ya vito. Kabila kuu ni Wayao. Kielimu ipo nyuma kidogo, ila kuna hali ya hewa nzuri. Ni sehemu nzuri kuishi. Karibu sana.
Ndugu, kuna mambo mawili hujafafanua. Umeshtakiwa kesi ya jinai au madai?Kama umeshtakiwa kwa kesi ya jinai kuwa unahusika na huo wizi, basi kisheria unapaswa kushtakiwa wewe na siyo kampuni na kama umeshtakiwa kwa kesi ya madai kwa maana ulipe fidia ya vitu vilivyopotea basi kwa kanuni ya "...
Maisha ya shida umeyapimaje? Kuwa na ofisi ndogo au kucharge instruction fee laki moja? Sasa uliwezaje kwenda kwenye ofisi hizo wakati kuna kubwa ulizifahamu.
Serikali 3 ni muhimu na haziepukiki kwa sasa. Zaidi ya hayo hoja zinazotolewa kuunga mkono serikali 3 zina nguvu kuliko hoja dhaifu za wadau wanaounga mkono serikali 2 au 1.
Hahahaaaaa! Mkuu yaonesha unaogopa sana mimba kuliko H.I.V. Ebu kachek kwanza afya then mtoto akizaliwa kapime DNA utapata uhakika kama mtoto ni wako au la.
Mkuu nenda gerezani utapata for sure! Utapata chaguo lako tena locally made ni imara sana mkuu. Ila kuwa mwangalifu wasikuingize mjini, ungepata mwenyeji ingefaa zaid. Mafanikio mema.
Duh! Kama ni mzaha kwa mama huyu jamaa kapitiliza! Naunga hoja iliyotolewa kuwa jamaa aliokotwa jalalani hamjui mama yake, so ana hasira na mama yake. Chukua tahadhari ndugu!
Eeh bwanae wazo zuri sana, sisi wa kusini Dar-Masasi- Nachingwea kulikuwa na kitu Akida Bus Service, Wifi Nae. Masasi- Newala, Solo, Mmakuti Yote hayo Leyland Carrier Juu, ikiwa kilomita 10 kwenye mlima unaisikia inavyoimba hadi rahaaa!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.