"Vita baridi" ya chanjo za Covid 19 imeanza:
1. Uingereza wana chanjo ya kwao.
2. Marekani wana chanjo ya kwao.
3. Urusi wana chanjo ya kwao.
4. Uchina wana chanjo ya kwao:
5. India (yenye watu zaidi ya bilioni, imesema itanunua kwa Mwingereza (ambao ni ushindi au zawadi ya kwanza tangu...
*
MUKOKO
Mechi 4
goli 1
Assist 0
Dube
Mechi nne
Goli 3
Assist 3
MESHACK WA GWAMBINA
Mechi : 4
Goal : 4
Assist : 2
Mchezaji Bora MUKOKO
Au Kuna Kigezo Kingine Kimetumika Ili Kumpata Mchezaji Bora
_*Anaejua Tuelimishane Kidogo
Maharage miti, nani anayajua vizur? Miti yake ni perennial sio kama maharage ya kawaida, mkulima amesema amepata Tanga ila mm nimeona gairo uzuri wake unagrow maeneo ya ukame, swala la pili ni juu ya nutritional value yake jee iko sawa na maharage ya kawaida?
17/4 Coastal Union vs Simba SC
20/4 Kagera Sugar vs Simba SC
23/4 Alliance vs Simba SC
26/4 KMC vs Simba SC
28/4 Biashara UTD vs Simba SC
1/5 Prison vs Simba SC
3/5 Mbeya City vs Simba SC
Sasa ile kauli mbiu ya DO OR DIE iendelee hapa.
-Siku Tanzania inacheza na Uganda kwenye pambano lililo ishuhudia Taifa Stars ikiungana na Cranes kwenye safari ya Misri kuna kitu niliwaeleza watu niliotazama nao pambano hilo.
-Niliwaambia kuwa iwapo Emmanuel Okwi atapangwa ni wazi atakuwa kwenye wakati mgumu sana, mimi huwa ninasema Okwi ni...
-Kuna uwezekano klabu ya Eveton ikacheza na klabu ya Simba badala ya bingwa wa mchuano ya Sportpesa Super Cup 2019 kutokana na timu zote ambazo zimeingia Fainal hazidhaminiwi na kampuni hilo. Bandari, Kariobangi Sharks na Mbao zilikuwa timu mwalikwa kwenye michuano hiyo. Huku timu tano Simba...
-Kila la kheri Simba SC wapigeni pigo la moyo JS Saoura leo na ushindi wa mechi ya leo utawapa nguvu ya kupambana mechi zinazofuata Mungu ibariki Simba, Mungu Ibariki Tanzania.
1-Manula
2-Gyan
3-Hussein
4-Wawa
5-Juuko
6-Kotei
7-Chama
8-Mkude
9-Bocco
10-Kagere
11-Okwi...
" Nawaomba wana Yanga wasije wakafanya makosa siku ya Jumapili, nawaombeni sana mchagueni Baraka Igangula. . kijana mstaarabu na mwenye nia ya dhati kuipeleka Yanga mbele, atatujengea uwanja na kujenga ghorofa pale Mafia hata akaunti yetu ya Bank itakuwa na pesa kama kipindi kile cha Iman...
-Basi la mashabiki lililoenda Lesotho kuisapoti timu yetu ya Tanzania kwenye mchezo kufuzu Afcon 2019 kupitia Mbeya hadi Afrika Kusini sasa limegeuka basi la Walevi na wafanya Starehe. Basi hilo limeondoka Lesotho siku ya Jumatatu hadi sasa bado halijafika jijini Dar. Ikifika usiku kituo cha...
My own expected line up
Aishi Manula, Erasto Nyoni, Gadiel Michael,Abdi Banda, Kelvin Yondani, Himidi Mao,Shiza Kichuya, Mudathir Yahya, Simoni Msuva, John Bocco, Thomas Ulimwengu.
Tutamkosa nahodha Mbwana Samatta aliye na adhabu ya kadi za njano na Shomari Kapombe aliyepata majeraha...
Hivi Serious Yanga mnakubali huu mtego wa Manji?. Sio kwamba simtaki Manji bali Yanga kwa sasa inahitaji viongozi wapya ambao watakuja kuinusuru klabu hali mbaya kwa sasa kwenye klabu wachezaji halipwi mishahara kwa wakati, Fedha za kuendesha klabu kwa sasa hamna, Fungu la Usajili kwa sasa Hamna...
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga Obrey Chirwa atajiunga Azam FC, kesho anategemea kusaini mkataba ndani ya mabingwa hao wa Afrika mashariki na katizamani wa Yanga Obrey Chirwa atajiunga Azam FC, kesho anategemea kusaini mkataba ndani ya mabingwa hao wa Afrika mashariki na kati
"Kila mechi tunatengeneza nafasi za kufunga lakini kama washambuliaji hawafungi tutafanyaje? Mfano nafasi aliyopoteza Makambo kwa kichwa pale hata mama yangu angeweza kufunga,”
Mwinyi Zahera
-Kocha mkuu wa Klabu ya Yanga
MSHINDI NAFASI YA MWENYEKITI
-Swedi Mkwabi
WASHINDI NAFASI YA WAJUMBE BODI YA WAKURUGENZI.
-Asha Baraka
-Hussein Kitts
-Dkt Zawadi Ally
-Selemani Said
-Mwina Kaduguda.
MAONI YANGU:
Uchaguzi umeisha na waliopita ndo viongozi wetu uwe hukuwapigia kampeni au uliwapigia,uwe huwapendi au unawapenda...
-Bodi ha Ligi ya Tanzania Bara imeahirisha mechi tatu zinazohusu vilabu vya Simba, Yanga na Azam ili kupisha maandalizi ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambayo inatarajia kuingia kambini November 04 kujiandaa na mchezo wa kufuzu kwa fainali za kombe la mataifa Africa (AFCON 2019)...
AMMY NINJE ATHIBITISHWA KUWA MKURUGENZI WA UFUNDI TFF. KAMATI NDOGO ZAFANYIWA MABADILIKO
Kamati ya Utendaji iliyokutana Jumamosi Oktoba 20, 2018 Makao Makuu ya TFF, Ilala jijini Dar ilipitia masuala mbalimbali ikiwemo kumthibitisha Ninje na kimepitisha mabadiliko kwenye kamati za TFF
Nafasi ya...
Mwaka 2007 niliandika mara mbili katika barua za wasomaji katika gazeti lililokuwa likiitwa Spoti Starehe, gazeti dada la Majira. Sijui liko wapi gazeti lile siku hizi. Huenda ushindani wa kibiashara umeliondoa sokoni kama ilivyokuwa kwa Alasiri, Dar Leo, Kasheshe na magazeti mengine. Chini ya...
-Mwenyekiti wa Kamati ya usajili ya klabu ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe ameachiwa kwa dhamana ya Sh. Milioni 15 baada ya kusomewa mashitaka mawili katika Mahakama ya Kisutu mjini Dar es Salaam leo akiunganishwa kwenye kesi inayowakabili rais wa klabu hiyo Evans Aveva na Godfrey Nyange...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.