v
Mbunge wa kuteuliwa hawezi kuwa waziri mkuu, hii ni kwa mujibu wa kaiba. Waziri Mkuu lazima awe mbunge aliyechaguliwa jimbo ni hivyo Membe hana sifa hizo.
Kabla ya kupata ubunge alikua anafaya kazi TRA lakini hakufika ngazi ya kuwa officer, he was just a clerk (motor vehicle registration), lakini alijiendeleza kidogo chuo cha biashara (CBE) akapata certificate ya business administration. Alipokua TRA alijihusisha sana na usajili wa magari ambayo...
Nafikiri ukisoma vizuri taarifa ya Chatanda ni kwamba wamekodisha kituo cha mabasi cha ccm kwa kampuni ya Mtei. Kituo hiki sio stendi kuu ya mabasi Arusha. ni kituo kinachojitegemea jirani na soko la kilombero. Kabla ya hapo kituo hiki kilitumika na mabasi ya scandinavia. naomba utoe maelezo...
Nanukuu "..........Ustaadhi Alhaji Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kunywa pombe hadharani wakati wa wakiwa ziarani mkuani Rukwa, vyombo vyote vya habari vimefunika kombe mwanaharamu apite......" mwisho wa kunukuu
Hawakua mkoani Rukwa na Makamu wa raisi hakunywa pombe ila alikua anapata...
Huyu alibaka kweli na kama unataka uthibitisho tembelea familia za watoto waliotendewa kitendo hicho upate ukweli. nyingi ya familia hizo wanaishi maeneo ya sinza jirani na mashujaa primary school. Ameharibu watoto na si kusingiziwa!
Huyu jamaa ndugu yake ni mwenyekiti wa ccm mkoa wa mbeya anaitwa Nawab Mulla, wamefanya sana biashara haramu ya pembe. Pia wana kampuni ya usafirishaji inaitwa "Usangu Logistics".
Ukweli ni kwamba anataka sana umaarufu huyu Dr. Slaa, alitegemea kupata u:eyeroll1:rais kwa urahisi lakini kwa kuwa wa alitaka kuwafanyia ubaya wakuu wa serikali zilizopita. Mungu apishie mbali na janga lake. TUMUOGOPE
KAMA UKOMA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.