Ni kero kubwa sana jana nimekutana nayo Shinyanga. Huu ni ujinga wa kiwango cha lami unafunga njia kwasababu za kijinga tu, wasafiri wametoka mbali wamechoka wagonjwa kisa siasa huu ni upumbavu
Hii michezo ya hesabu tulishacheza shule ya msingi huko[emoji1787] kwa ufupi hapo mwanzo uliposema weka namba ya kiatu chako ndo inakwenda kuleta jibu huko mbele hizo hesabu hapo mbele ni kuzuga tu. [emoji1787][emoji1787]
Tulikuwa tunacheza mchezo unamwambia mtu afikirie namba, kisha...
Mwl. Nyerere alisema ili inchi iendelee inahitaji:
1. Uongozi bora
2. Siasa safi
3. Ardhi na
4. Watu.
Mimi nasema ili nchi iweze kuendelea inahitaji vitu viwili tu;
1. Uongozi bora na
2. Technolojia
Kwasababu haiwezi kuitwa nchi kama haina watu au ardhi. Hivyo bila kujali idadi ya watu...
Hili ndo tatizo kubwa la huyu mtu, akibebwa anachana mbeleko. Akijua nyuma kuna mbuyu huwa hajali yeyote aliyembele yake. Hii tabia huwa inawaaribia waliombeba au waliomkingia kifua(Mibuyu).
Alipokingiwa kifua na JK aliwashambulia akina Mzee Warioba na Lowasa bila haya yaani kwasababu tu mtu...
Tatizo linatokana na asili ya TISS jinsi ilivyoanzishwa kutokea UVCCM, hivyo mpaka sasa bado wanajiona kazi yao kubwa ni masuala ya kisiasa tu, kuilinda CCM na viongozi wake.
Hakuna kitu kinanikera kama hiko, tune original zina upako sana, waliotunga walikuwa katika uwepo wa ROHO MTAKATIFU sasa wao wanakaa zao vijiweni wanajitungia tungia tu na vitune vyao vya ajabu ajabu kutafuta umaarufu tu, si watunge nyimbo zaoooo [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Nyimbo za tenzi, zina upako sana, alafu cha ajabu ni worldwide zipo Mataifa almost yote. Tune na ujumbe/content ni hivyo hivyo ila kila Taifa wanatumia lugha yao. Waliotunga hizi nyimbo kwa vyovyote vile hawakuwa katika hali ya kawaida walivuviwa na ROHO MTAKATIFU, hivyo ukiimba kwa imani...
Abrahamovich nafaham umafia wake na Rafiki yake Putin. Bill Gates sifahamu chochote mi nilidhani amepitia njia za kawaida tu bila makandokando yoyote, kwani ana tuhuma gani?
Wapo wengi tu mitandaoni humu inategemea na aina ya mzigo wako kama ni mzito unawatumia wanaosafirisha kwa Meli, wao wanachaji kwa CBM (M³). Kama ni kifurushi chepesi unawatumia wanaosafirisha kwa ndege wao wanachaji kwa Kg.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.