Hatimae amepatikana mtu wa kumfunga paka kengele, baada ya serekali na taasisi zake kushidwa kuwafikisha watuhumiwa wa ufisadi papa na nyangumi kwenye vyombo vya sheria, wanapelekana wenyewe mahakamani.
Lakini mwinyi si ndio aliofungua dirisha ili hewa safi iingie katika chumba baada ya kuwa na joto kali kwa muda mrefu, lakini kwa bahati mbaya vijidudu kama mbu na nzi ndo wakajiingiza (rushwa) au mshasahau Tanzania ilivyokuwa (kiuchumi) kipindi cha nyerere, kwamba hata kama ulikuwa unapesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.