Wanajamii,ni nini chanzo hasa cha mtu kuota yupo na Marehemu wa karibu naye mfano baba,mama mjomba na wengine ambao walimtoka kama miaka zaidi ya kumi iliyopita.
Na katika ndoto hizo mtu anakua anaisi kama anafanya nao kazi kana kwamba wako hai.Hii inatokana na kitu gani? na ni jinsi gani...
kama ni kweli serikali imeridhia mahakama ya kadhi basi mwelekeo wa serikali yetu na watendaji wake sio mzuri
Serikari kama serikali ikiamua na kutangaza kitu ni vizuri ikawa na msimamamo kuhusu ilichokiamua.tumeona bungu likiondoa misaada ya kodi kwa mashirika ya dini,kelele zikapigwa na...
Mweshimiwa MP umeandika ujumbe ambao ni mzuri na itakua busara kama maswali yako waeshimiwa wa jeshi la polisi wakiyajibu.Mambo ya kuonewa kwa waliopata ajari yapo apa nchini ila kwa kua watu uelewa wao ni mdogo basi wanakaa kimya tu na kukubali matokeo.
Wewe ni msomi na unaijua sheria pamoja...
Wakubwa kiti kuonyesha kua mtu alikua amesinzia ni technologia gani iyo?
Hata kama mchunguzi kasomea Uingereza, ni kwa nini tusiseme Mwakyembe alikua kalala make kuna tofauti kati ya kulala na kusinzia.
Mtu anaweza kulaza kiti ili alale ila akawa ajasinzia.
Mchunguzi wetu aliyesomea Uingereza...
Wapendwa wana JF.
Ni kweli kwamba wanaume wababe sana kwenye sehemu zao za kazi mfano,walimu kwa wanafunzi wao,bosi kwa wafanyakazi wa chini yake,Viongozi wa siasa kwa wanachama wao na wengine wa namna iyo uwa ni wanyonge sana na watu wa kufokewa na wake zao wawapo majumbani kwao?
Kama ni...
Pole kwa wafiwa wote make uyo mkubwa chenge yeye ataendelea kula nchi kwani nchi yetu kwa kulinda wakubwa tunaijua.
dito aliua wakapindisha mpaka Mungu naye kamchukua
Ni lini mnyonge ataeshimika Tanzania hii?
Watu tunashindwa kujitoa muanga kwa ajili ya wenzetu kisa kila mtu anajali maisha...
Hayo ndo mambo ya Tanzania bwana.Lakini viongozi wakae chonjo make watanzania walioongozwa na baba wa taifa sio wa sasa hivi.Kwa sasa watu wanajua kinachoendelea ingawa shule za kubabaisha.Kufikia mwaka 2020 wabongo wengi watakua hawadanganywi tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.