Umofia wana JF-GT, Heri ya mwaka mpya,,
Nauza vifaa vya maabara ya binadamu hivi vinawafaa wanaopenda kuwekeza kwenye biashara ya Maabara (Diagnosis health center)
Vifaa ni vipya kabisa na havijawahi tumika kabisa.
Vifaa vilivyopo
1. Haemoglobin Tester
2. Microscope
3. Urine analyzer Machine...
Shamba / Eneo linauzwa hekari 8.
Lipo
Wilaya : Kisarawe
Kata : Msimbu
Kijiji : Mwanzo Mgumu
Kuna mto wa msimu unapita mpakani mwa shamba
Kutokea chanika stand nauli ya daladala ni Tsh 2000 mpaka kijijini mwanzo Mgumu na ni dakika 10 kutembea mpaka shambani
Barabara ipo mpaka shambani.
Lina...
Laboratory Technician anahitajika
Awe ngazi ya cheti kutoka chuo kilivyosajiliwa na kinatambulika
Awe na uzoefu usiopungua miezi 6
Awe na uwezo wa kumshauri mgonjwa (convincing power )
Afahamu kutumia vifaa vyote vya muhimu
Centrifuge
Water bath
Urine analyser
Esr
Hbo analyzer
Microscope...
Shamba / Eneo linauzwa hekari 8.
Lipo
Wilaya : Kisarawe
Kata : Msimbu
Kijiji : Mwanzo Mgumu
Kuna mto wa msimu unapita mpakani mwa shamba
Kutokea chanika stand nauli ya daladala ni Tsh 2000 mpaka kijijini mwanzo Mgumu na ni dakika 10 kutembea mpaka shambani
Barabara ipo mpaka shambani.
Linafaa...
Bandugu amani na iwe nanyi,
Ninaomba ufafanuzi wa gari aina ya Toyota Passo
Ninatarajia kununua gari dogo kwa ajili ya safari fupi fupi, kuendea sokoni na kanisani, kwa makadirio weekly inaweza tembea 10 kmts
Kutokana na hali ya uchumi nimeona gari ambayo naimudu bila kuadhiri budget ni Toyota...
Tanzania Tanzania Nchi yangu
Natamani kuiona Tanzania ikiwa na Viongozi mwenye maono, hekima,busara na fikra pevu.
Natamani kuiona Tanzania yenye uhuru wa kujieleza na kukubaliana kutokukubaliana.
Natamani kuiona Tanzania yenye amani ya kweli inayotokana na watanzania kuaminiana
Natamani kuiona...
Imported from UK - Ireland
Refurbished 95 Horse Power Ford 7610 in Excellence Conditions
Brand new tire, Never used in Tanzania
Its very powerful Tractor registered no D
Contact: Malisa 0783529108
Price TSh 45Milions
Wandugu, naomba mwenye taarifa kwa anayefahamu taasisi yoyote ya fedha wanayoyotoa mkopo dhamana kadi ya gari. mkopo ninaohitaji ni kukuza mtaji na utarejeshwa ndani ya miezi 12 nimejaribu kutembelea bank kama CRDB, NBC, NMB, DCB, Access Bank nimekwama.
Shukrani
GT, Wasalaam
Naomba kujuzwa jinsi ya kuweza kusajili kituo cha kutoa elimu(institute) ya mambo ya ujasiriamali na kilimo
Natanguliza shukrani kwenu
Wasalaam
Maisha kwa sasa yamekuwa na changamoto nyingi sana hasa kwa wale wanaoisha Dar watanielewa zaidi..
Tunahangaika sana kutafuta hela na kuhakikisha watoto wetu wanapata mlo wa kila iitwapo leo..
Tunatoka nyumbani saa 10 Usiku watoto wamelala tunarudi nyumbani saa 4 usiku watoto wamelala...
GT Wasalaam
Nimepotelewa na wallet yangu yenye vitambulisho
1. Driving Licence yenye jina la Jubilant Malisa
2. Eco Bank card
3. Kitambulisho cha kazi jina Jubilant Malisa Kampuni Africare
4. AAR Insurance card yenye jina Jubilant Malisa
Kwenye wallet kuna business card yenye jina langu...
Nahitaji Mtu wa website design kwa ajilli ya kutengeneza website yangu.
Sharti: 1 awe amshawahi tengeneza website na anipatie links zake niwezeona kazi zake
2. Bei yake iwe inalipika
mwenye ujuzi anipm kwa taarifa zaidi..Natanguliza Shukrani
Ee Mungu, kumbuka yaliyotupata; Utazame na kuiona aibu yetu.
Urithi wetu umegeuka kuwa mali ya wageni; Na nyumba zetu kuwa mali ya makafiri.
Tumekuwa yatima waliofiwa na baba; Mama zetu wamekuwa kama wajane.
Tumekunywa maji yetu kwa fedha; Kuni zetu twauziwa.
Watufuatiao wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.