Tatizo sheria zetu ni zakikoloni sana zinahitaji marekebisho makubwa..
Kuwekwa ndani ni kwa ajili ya kupata taarifa na kufanya uchunguzi
Mnachotakiwa ni kumtafuta mwanasheria na kumuombea dhamana wakati polisi wakiendelea na upelelezi wao..
Ila msiwe na shaka hatakuwa na shitaka la kujibu...
Umofia wana JF-GT, Heri ya mwaka mpya,,
Nauza vifaa vya maabara ya binadamu
vinawafaa wanaopenda kuwekeza kwenye biashara ya Maabara (Diagnosis health center)
Vifaa ni vipya kabisa na havijawahi tumika kabisa.
Vifaa vilivyopo
1. Haemoglobin Tester
2. Microscope
3. Urine analyzer Machine
4...
Umofia wana JF-GT, Heri ya mwaka mpya,,
Nauza vifaa vya maabara ya binadamu hivi vinawafaa wanaopenda kuwekeza kwenye biashara ya Maabara (Diagnosis health center)
Vifaa ni vipya kabisa na havijawahi tumika kabisa.
Vifaa vilivyopo
1. Haemoglobin Tester
2. Microscope
3. Urine analyzer Machine...
Nakushauri Silent Ocean ndio the best ...kama wao unawaona bei juu ujue hao wengine ni balaa...
Pili bidhaa yako itafika kwa haraka na wanafanya home delivery kwa bei kidogo kabisa....
Kuna
Mokha wapo jengo la ushirika
Kilimanjaro Cargo..
Unaagiza mzigo January unafika December....
Hayo ni mawazo ya kimaskini! We we kazi yako iwe ni kumjaza mimba mkeo halafu utegemee mo aje kukisaidia?
Huu ujinga ndio uliojaa kichwani kwa Watanzania wengi. Tupambane kuzihudumia familia zetu...
Mwanaume ni kubeba majukumu ya familiar yako...
Sent using Jamii Forums mobile app
Unabii umetimia hayo yalikuwa ni majibizano Kati ya General Qaseem Suleiman na General wa Jeshi la Marekani pale Qaseem alipomtukana Trump miaka 3 iliyopita
Sent using Jamii Forums mobile app
NMB wanatoa mkopo ndani ya Siku 7 za kazi Bila shida yoyote.
1. Lazima uwe na biashara ambayo umeishaifanya kwa muda was miezi 6
2. Uwe na ripoti ya fedha ya miezi 6
3. Uwe na hati ya nyumba Kama dhamana.
Riba yao Ni 14% kwa mwaka sawa na 1.6% kwa mwezi.
Kila la kheri
Hahaha
Ligi napenda kupita maelezo
Natumia cresta ila nikiona Range, au BMW huwa na respect ila awe na Roho ngumu kwani naweza clock 180k/h hata 2hrs sijafikiria kurudi ukiwa mwoga kwangu usijae mbele
Juzinimetoka Dar kuja Ar asubuhi mpaka nafika Moshi Nina faini ya 90,000 overspeed
Kuna mto wa msimu ambao masika huwa unapitisha maji, sio lote tambarare kuna eneo la mwinuko Kama heka 4, maji hayatwami ila mvua kubwa zile za elnino mto ulimwaga shambani, give ur no nikutumie more pic on whatsapp
Sent using Jamii Forums mobile app
Shamba / Eneo linauzwa hekari 8.
Lipo
Wilaya : Kisarawe
Kata : Msimbu
Kijiji : Mwanzo Mgumu
Kuna mto wa msimu unapita mpakani mwa shamba
Kutokea chanika stand nauli ya daladala ni Tsh 2000 mpaka kijijini mwanzo Mgumu na ni dakika 10 kutembea mpaka shambani
Barabara ipo mpaka shambani.
Lina...
Laboratory Technician anahitajika
Awe ngazi ya cheti kutoka chuo kilivyosajiliwa na kinatambulika
Awe na uzoefu usiopungua miezi 6
Awe na uwezo wa kumshauri mgonjwa (convincing power )
Afahamu kutumia vifaa vyote vya muhimu
Centrifuge
Water bath
Urine analyser
Esr
Hbo analyzer
Microscope...
Shamba / Eneo linauzwa hekari 8.
Lipo
Wilaya : Kisarawe
Kata : Msimbu
Kijiji : Mwanzo Mgumu
Kuna mto wa msimu unapita mpakani mwa shamba
Kutokea chanika stand nauli ya daladala ni Tsh 2000 mpaka kijijini mwanzo Mgumu na ni dakika 10 kutembea mpaka shambani
Barabara ipo mpaka shambani.
Linafaa...
Uko Tanzania au wapi ndugu?
Tafuta mtu kueleweshe maana ya VAT value added tax analipa nani?
Pay as you earn analipa Nani?
Investors wana tax exemption nyingi Sana na wameajiri makonsultant wa kodi hivyo pambana uwe tajiri ujitoe kwenye hicho kifungo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bishororo:
Tabia zako na jina lako ulilochagua linaweza likawa chanzo cha maruweruwe unayoyapata.
Ila unachokipitia ni jambo ambalo walimwengu na wanasayansi wameligundua kwa mara ya kwanza 90 na bado wanalifanyia utafiti. habari yako sio ya kwanza nimefuatilia similar issue nilishangaa kwa...
Hiyo imeshakuwa kama culture yetu Watanzania.
Kwangu ni oja kati ya tabia ninazozichukia sana, binafsi huwa nawafundisha wananngu na wale wanaonizunguka kuwa wakweli na kukubali wajibu na kuwajibika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.