Ni kweli mkuu hapo panaonekana pana tatizo la system, tena wanaume wengi hawapendi wake zao watumie family planing. kuna hata wataalam wengine wa afya wanashauri mama asitumie family planing wakati ananyonyesha, hayo yote yanawachanganya sana wanawake ila kama mwanamke akili kumkichwa kwasababu...
Huyo contrctor ana wake wawili tena nimtu wakusafiri halafu inatumia muda mrefu mpaka aje hapo kwa bimdogo, sasa huyo mke na yeye siametafuta mme wa pili ili kubalance mahesabu kwahiyo mwekundu si sawa kumwita huyo mama malaya hayawani. My advice usioe wake wengi kama huwezi kukubaliana na msemo...
Nibora wangesalimiana kwakupeana mikono tu, hivyo wameharibu kabisa maana ya kusalimiana kwa kukumbatiana. Watumishi bwana mbona hata neno linasema salimianeni kwa busu takatifu wao wanaogopa nini!
KIRANGWA uposahihi nahisi baada ya watoto kuwa wengi na mkewe kuwa ni mjamzito wa miezi miwili sasa yuko njia panda anawaza kuongeza bibi mwingine ndio mawazo yayomkosesha amani, jitahidi mkuu kama dini inaruhusu na uwezo wa kifedha umesha declare kwamba sio mbaya, ongeza ila uwe makini nahuyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.