Habari wakuu.
Nimeajiriwa January hii Serikali ni na TAMISEMI kama mteknolojia dawa.Ila leseni ndio niko kwenye mchakato wa kufuatilia najiuliza. Je, ni lazima niwe na leseni ili wanilipe vipi kama ni kigezo mbna wameniajiri.
Asante
NAWASILISHA
Habari wakuu,
Ni miezi mitatu yangu nimeajiiriwa serikali kama mtumishi wa kituo cha afya stahiki kama substituent allowance nilipata ila ukiisha huu mwezi wa 2 bila mshahara nitakuwa namalizia miezi mi nne.
Nachohitaji ni ushauri wenu nichukue hatua gani kama mwezi huu nitakosa mshahara...
UK I angle a Leo tar 29 mwisho wa mwez sioni tumaini lakuupata mshahara nikimuuliza Afisa Utumishi anasema usijali utapata mambo mazuri.ukimbana sana anasema mambo yako nje ya uwezo wangu .hivi kweli ni haki hiyo yakiutumishi tutalalamika hadi lini
Kusema kweli kunaitajika nguvu ya ziada kwenye sekta za muhimu kama Elimu, na Afya wanafunzi wanakosa madawati,vitabu muhimu vya kusoma ilhali waalimu vijijini hawana nyumba za kuishi. Uku ukiangalia kuna bilioni moja imemwagwa kwa ajili ya kurudia uchaguzi
Ivi Yatasemwa haya ,watu watalalamika...
Wanajamvi poleni na majukumu.Mwishoni wa wiki iliyopita Waziri wa Afya aliwataka wakurugenzi wa halmashauri zote kuwapatia WATUMISHI wapya wa kada ya AFYA mishahara yao ambapo ni miezi mitatu mpaka sasa hawajalipwa na wengine hawajapewa stahiki zao.
Swali ni je mpaka sasa hilo tamshi...
MPE Poole sana kijana mwambie kwenye barua ya Ajira si alisema wqko mtiifu.by the way kazi bila MISHAHARA ni changamoto tena sehemu nyeti kama AFYA MTU anaweza kuua kiss mawazo
Habari zenu wana Jf.
Ni siku chache tangu KUSITISHWA kwa Ajira za Afya tar 31/10. Kumekuwa na Effects nyingi mno kwa hawa vijana. Kibaya zaidi kuna kijana ameacha hadi kazi mahali alipokuwa kijishkiza huku akijua ameshaajiriwa serikalini.
Ninachowaoomba WIZARA YA AFYA ikishirikiana na TAMISEMI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.