huu ni uongo nimesafiri na bombardier zaidi ya Mara kumi mpaka sasa hilo la hali ya Hewa kuzingua Ndege itatikisika tu. Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni
Acha ukabila wewe ndio maana utakufa maskini invest in education you will see the difference, uliza ni wachagga wangapi wana degree, masters na PhD. Uliza ni wachagga wangapi wako nnje ya nchi, elimu elimu elimu,
September kwa mujibu wa unajimu ni mwezi wa uchomaji, nashauri polisi kukifanyisha kikosi cha zimamoto mazoezi!
September mosi kwa intelligensia ya kawaida ni uharibifu mkubwa
Katika hali ya kustaajabisha jipu tambazi la ada za private school limeshindikana kutumbuliwa.
Huu ni mwanzo mbaya au dalili za kuanza kushindwa kwa kasi ya mabadiliko ya kudandia. Serikali ilijipambanua Ifikapo December 15 wangekuja na Muongozo lakini hakuna kitu.
Hakika mabadiliko bado...
Tatizo mnawalea vibaya wewe kanunue determine au unigold mpime ngoma, then hakikisha una KY pasua jicho walau utoe iloyobakia kama ipo. Ila hapo kuna mwanamke asiye na maamuzi..... Toa namba tukusaidie kutunza bila wivu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.