Hamjambo?
Husika na mada tajwa hapo juu, nimeona changamoto za maisha zimekuwa nyingi sana. Sasa nimeamua na mimi niende Nigeria kutafuta utaalamu wa kienyeji nifanikiwe zaidi kifedha.
Tafadhari mwenye uzoefu na hiyo nchi aniambie pa kuanzia, yaani nauli, viza, accommodation, mahali...
Mitaa yote ya Paris St Germany, Aston Villa, Chelsea, Bayern Munich, Liverpool, Manchester, Arsenal Wenger, West harm, NBA, Barcelona, Real Madrid, David Beckham, UEFA n.k
Yooote ilijaa watu kwenye big screens kushuhudia ujio wa Lowasa ukawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.