wadau naomba msaada kwa anaejua mwaka huu natarajia kwenda kusoma degree yangu ya pili( masters ) huko china nimeshaanza michakato ya kwenda huko je kwa mwenye ufaham.na china.opportunity gany naweza faidika nazo kwa.mimi kuwa kule na kiu sana ya mimi siku moja.kuwa mfanyabiashara mwenye...
SOCIAL CREDIT COMPANY ni Taasisi ya
kifedha inayohusika na utoaji mikopo nafuu
na isiyokua na riba kupitia mfuko maalum
uitwao Social Credit & Loans kwa dhumuni
la kuwawezesha wajasiriamali wadogo na
wakubwa nchini Tanzania kwa kuwapatia
mikopo ya pesa kwa lengo la kumuinua
kiuchumi...
Jamani mimi ni graduate mtarajiwa sasa nimejaribu kucheki matangazo mengi kuhusu nafasi za kazi nyingi ninaweza ku aply lakini tatizo nyingi zinahitaji experience wadau za kama si 3yearz ni mor than that sasa ni aply wadau au inakuwaje apo msaada pleaz
wadau wa jf naomba mnipokee nimejiunga kwa ajili ya kushea different ideas na kuwa updated na mambo mengi,,,,, jf z the soln
Naomba kuwasilisha wana jamvi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.