Habari wakuu.. Hiyo gari inauzwa
Colour - Silver
Km - 99000
Year of Manufacture - 2003
Registered in August, 2012 - CCG
Price - Tshs. 12,500,000.00
Serious Buyers Only - PM for details
Wapendwa,
Please cascade... Sehemu ya kazi ni Dar es Salaam
Qualifications:
Diploma in Secretarial Studies
Knowledge in Business Admin and/or Accounting will be an added advantage
At least 2 years experience
If Interested, Please PM for details
Wapendwa,
Nawasalimu katika jina la Mungu aliye juu
Naomba kujua nitapata wapi shule inayofundisha martial arts hapa Dar es Salaam kwa ajili ya watoto wa umri wa miaka 3 kuendelea.
Mbarikiwe sana
Kitchen
- Commis
- ½ Chef de partie
- Chef de Partie
- Pastry Commis
Food and Beverage
- Stewards
- Waiters / Waitresses
- Assistant Head Waiter / Waitress
- Restaurant...
Wapendwa Mabibi na Mabwana,
Kuna ndugu yangu ambaye ni secretary. Alikuwa anafanya kazi mahala fulani kwa mkataba na sasa muda wake umeisha.
Mkiwa kama waumini wazuri, naomba msaada kama kuna mwenye nafasi au anaweza kumsaidia apate kazi, ani-PM for more details. Kwa niaba yake na kanisa langu...
KickStart International is an award winning NGO with a mission to help millions of people in developing countries escape from poverty and to kickstart sustainable economic growth. KickStart develops simple money-making tools and markets them to poor, entrepreneurial persons who use them to...
The Mission to Seafarers Dar es Salaam Invite Tenders from Eligible Service Providers to bid for Running of Mission to Seafarers Restaurant at Kurasini Dar es Salaam for a period of one (1) year (renewable) as from January, 2010.
Bid envelopes should be dropped at Mission to Seafarers Offices...
Wana JF,
Heshima Mbele,
Siku ya Ijumaa Tarehe 30 October, 2009 nikiwa Mwanza nilifanya Booking ya Ndege ya Precision Air kwa ajili ya kutoka Mwanza Tarehe 01 November, 2009 (Jumapili) asubuhi kuja Dar. Kwenye Ticket iliandikwa reporting time ni saa moja kamili asubuhi(07h00).
Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.