Habari wana jukwaa!
TAARIFA: KIWANJA KIMESHAUZWA
Note: admin sijaelewa kwa nini tangazo la kwanza mmelifuta. Tafadhali naomba msifute au laah niambieni nakosea wapi
Nauza kiwanja changu kipo eneo la Kidete, Mtaa wa Kibugumo, Kigamboni. Kiwanja kinafikika kirahisi sana kwa anefahamu njia ya...
Habari wanajamii
Naomba kujuzwa bei ya kioo cha android screen lcd inch 10, kwn inaonekana kama touch imekufa. Hii ni kutokana na kutofanya chochote ukikigusa, ila ukitumia mouse, ipo vema.
Naomba
1. Kujua bei yake
2. Mahali ntapata
3. Gharama za ufundi
Kama unacho nicheki PM
Habari zenu,
Natumai tupo poa. Naomba ufafanuzi wa Toyota Harrier yenye injini model no. MCU30 kuwa na injini capacity 2490 nimeiona mahala. Kwa sababu nimezoea kuziona Toyota Harrier za 2AZ ambayo inakuwa na cc 2360 na 1MZ inakuwa na cc 2990 (nirekebishwe kama nimekosea).
Nimekutana na hii...
Habari zenu
Nauza friji hii iliyotumika almost miaka 9 hv
Sifa zake:
1. Rangi nyeupe, ila vema ukiirudidhia rangi
2. Ni kubwa
3. Aina ya Bosch
4. Inafanyakazi japo ufanisi umepungua kiutendaji
5. Inafaa sana kwa watotoleshaji mayai ya vifaranga ie incubator baada ya kufanya modification
6. Nauza...
Habari zenu!
Nahitaji kioo cha simu yangu aina ya Samsung Galaxy Note10 Plus. Simu ilianguka ikagonga sehemu ktk kona ya kulia upande wa chini. Sasa baada ya tukio hili natumia peni tu kimatumizi inakubali lakini kwa vidole haikubali.
Kuna mtu alinishauri nitafute used kuliko kuagiza akidai...
Habari zenu Wakuu,
Naomba kuuliza. Je sports rims size 20 ikiwa na tyres size 225/35/R20 unaweza kufunga ktk gari aina ya Toyota Mark X baada ya kuiinua kwa kuweka 'spacer mm10' na iwe vema barabarani hata ukiwa katika mwendo mkubwa?
Naomba kupata ushauri kwa wataalam na mafundi wa magari
1...
Habari zenu
Naomba kujua basi zuri la kwenda Kagera/Bukoba ni basi lipi. Pia ntashukuru kama nitaambiwa nauli, muda wa kutoka hapa Dar na kufika huko na lolote la ziada ambalo ni muhimu
NB: Usiniambie nipande ndege najua zipo lakini nina sababu maalum ya kufanya hvy!
Habari zenu!
Baada ya kukaa nje kwa muda toka alivyopishana na bodi na wachezaji wa klabu ya Chelsea Fc hatimaye kocha mwenye mzuka wa kushangilia na mbinu nyingi amerejea tena lakini katika ligi ya Italia. Na kwa sasa katika klabu ya Inter milan!
Wachambuzi na wajuzi wa soka mnalionaje hili...
Habari wakuu!
Nahitaji simu yenye hali nzuri sana yenye specs hizi:
1. RAM walau kuanzia 4GB lkn ukiwa na 6GB au zaidi itafaa zaidi
2. Internal Memory walau 64GB
3. Kukaa na chaji walau masaa 6
4. Battery capacity 3600Amh na zaidi
5. Line 2, dual
6. Isiwe Teckno, itel (samahani wenye cm hizi)
7...
Habari zenu!
Kuna mdau kaomba taarifa tu kama watu waliofanya usaili wa ajira upande wa TRA hadi hatua ya mwisho ambayo ilikuwa kati ya tarehe 25 na 26 Machi 2019 kama majina yalishatoka au laah.
Kwani nae alikuwa miongoni mwao waliofikia hatua hiyo na walisema majibu ni kati ya wiki mbili...
Assalam alleykum!
Habari zenu?
Ndugu zangu naomba msaada wa namna ya kuandika nakala ya Wakfu. Mzee wangu ameamua kutoa eneo lake (kiwanja) kwa ajili ya wakfu, sasa nahitaji mwongozo huo kisheria. Kama kuna sampo ya nakala ya kisheria wakfu ntashukuru nikipatiwa! Itapendeza zaidi ikiwa katika...
Habari wana jukwaa
1. Je adhabu iliyopitishwa ni stahiki?
2. Je kuna athari katika tasnia ya uhasibu?
3. Tunajifunza nin katika sakata hili
Note
Naona kuna shida katika kona za utetezi kuwa finyu sana kwa mshukiwa
Video hii pitia vema then jenga hoja
Habari wana jukwaa
Kuna kadhia nimekutana nazo katika ndoa za jamaa zangu watatu tofauti ambao mmoja ni jamaa yangu toka utotoni, mmoja nilisoma nae shule ya sekondari kidato cha tano na sita na mwingine tulikutana chuo kikuu. Wote hawa jamaa walikuwa na wameendelea kuwa marafiki zangu sana wa...
Habari zenu wana jukwaa
Naomba msaada au mwongozo wa namna iliyobora ya kupata faili la mgonjwa wangu kutoka hospitali.
Ipo hivi, nina mgonjwa ambaye alikuwa anapata tiba specifically masuala ya uzazi kwenye hospitali binafsi. Lakini baada ya kuona vipimo na tiba mbalimbali kutokuwa na...
Habari wana jamii
Kwanza naomba niombe radhi kwa jamii itakayohisi au kuona imeguswa kwa namna moja au nyingine lakini kuna mambo lazima yasemwe ili haki za wengine nazi zilindwe
Ama baada, kumekuwa na tabia moja ambayo binafsi naona ni kero hasa kutokana na kelele za muziki wa sauti ya juu...
Habari za leo wanajukwaa
Dhana ni ile hali ya watu nadhani hasa sisi Waafrika (nisahihishwe kama sipo sawa) kuamini baadhi ya mambo au dalili fulani iwapo itakutokea basi kuna uwezekano ikawa ni bahati au mkosi. Lugha nzuri ni kasumba.
Sijajua kwa Wazungu japo hawa Wahindi kwa kufuatilia...
Habari wataalam wa mambo ya IT
Naomba mwongozo wa namna gani nitarudisha meseji za whatsapp zilizofutika ie backup katika simu yangu. Kwani nimejitahidi kurudisha lakini sizioni au sijui wapi labda zinakuwa 'stored' baada ya kurejea
Aina ya simu ni OPPO F5. Mfumo wa simu OS ni android 7.1, RAM...
MREJESHO!!
Nimeichukua simu ile aina ya OPPO F5. Hakika sijutii MaashaaAllaah ni simu nzuri sana. Usuri wake ni kuanzia katika kukaa na chaji, technolojia yake na hata muonekano wake ni mzuri sana
Changamoto zake
Hadi sasa sijapata kuona sehemu wanazouza "cover na screen protector" kwa hapa...
Habari za leo?
Wakuu naomba msaada wa kuandikiwa au kama una sample ya barua ya bodi ya kampuni kwa ajili ya kubadilisha jina la kampuni ya kisheria ie mfano kampuni ilikuwa inaitwa AA Ltd kuwa BB ltd kwenda kwa Msajili wa makampuni Brela.
Nitashukuru hata kama waungwana mtanitumia Pm kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.