Hongera Muuza Matumaini Dr Amani Makirita. KAZI na jitihada zako zinaonekana. Sambaza ujumbe wako kwa watu wengi zaidi wapate like wanachotaka ili nawe upate unachohitaji.
Fikiria jukwaa hili hapa la www.calipa.co.tz kuongeza WiGo na urahisi wa kuuza matumaini.
"CAS LIFE PURPOSE ACADEMY"-...
Hongera kwa kazi nzuri kuelimisha jamii kupitia makala za kuelimisha na kusisimua.
Umekuwa unatumia platforms kadhaa kufikia wasomaji wengi kadiri uwezavyo, ni jambo jema.
Vipi, umewahi kufikiria kutumia platform hii inayopatikana hapa www.calipa.co.tz?
Hii platform/system ambayo ni "App na Web...
Soma kitabu hiki kuongeza maarifa na kipato zaidi 'WEWE NI TAJIRI: UMASIKINI UNAUTAKA MWENYEWE' kutoka CALIPA - CAS Life Purpose Academy
Unajali Mafanikio yako, ya Mwanao au Ndugu yako Katika Elimu, Kijamii na Kiuchumi?
Jisomee kitabu hiki: "MTOTO NA MAFANIKIO" hapa CALIPA - CAS Life Purpose...
Wadua habari. Kuna platforms ya kutoa/kupata elimu juu ya mambo mbalimbali.
Unaweza kutoa au kupata elimu hiyo free au kwa kulipia. Kama wewe ndio unatoa elimu kwa kulipia, wadau watakaosoma watalipia na fedha hizo za malipo (75%) zinakuja kwako. Ubora wa content ndio wingi wa clients...
Habari waungwana.
Naomba kufahamu kampuni inayofanya vizuri zaidi katika huduma za bima Tanzania.
Vigezo vifuatavyo vizingatiwe.
1. Uwezo wa kuhudumia na kulipa madai
2. Idadi ya wateja
3. Aina za huduma wanazotoa
4. Muda iliofanya kazi kwa miaka mfululizo.
Ahsante sana kwa ushirikiano wako.
Sijae
Sijaelewa hoja yako hapa.
Kitendo cha wachache kujua na kukaa kimya ndio siri yenyewe na hii imetokana na nidhamu iliyowekwa tayari.
Katika majadiliano kama haya ni jambo la wazi kwamba kuna kuwa na makubaliano ya awali kati ya pande zinazojadiliana kuhusu utoaji wa taarifa kwa vyombo...
Nimeelewa kwamba tuwataje hao ambao sasa hawapo tena duniani na mifano aliyotoa ni ya watu ambao walishafariki.
Kama nimekosea nisahihishwe na kama nipo sawa, basi waliotaja watu walio hai waombe radhi jukwaa na wote waliotajwa.
Nimependa ulivyojibu kwa uhakika kabisa. Huu ndio uanaume.
Jiulize japo hili halafu ufanye hitimisho...
Hivi bima ya afya kwa mfano, chimbuko lake ni wapi na ni kwanini watumishi karibu wote wanatakiwa(lazimishwa) kuwa nayo?
Mfumo wa elimu kwa mfano, nani alisema tusome masomo flani kwa style...
Jaribu kuelewa basi kilichoelezwa na mamlaka husika
.."kama ndege inayoletwa hawaielewi inabidi mwenye ndege awape mafunzo kuhusu ndege hiyo kabla ya kuletwa nchini"... Je mafunzo hayo yatafanyikia wapi kama sio katika nchi iliyotengeneza au kumiliki ndege hiyo awali?
Siasa ina wenyewe na wenyewe ni wananchi vilaza.
Naona kama EL ameenda kumharibia UK kwa namna Chadema walivyomchafua Mzee wa watu EL. Nakumbuka katika kampeni za KE, wagombea wa nafasi mbalimbali walipanda jukwani kwa nyakati tofauti wakisema watafanya kama Magufuli iwapo watapewa nafasi ya...
Nadhani uwazi unahitajika sana katika hili ingawa kutaja members of negotiations team kwangu sio issue sana bali kujua jukumu walilopewa na mwisho wa mamlaka yao katika majadiliano yao.
Mwenyekiti wa Team anaweza kuwa yeyote mwenye uelewa wa jumla au specific katika moja ya maeneo ya...
Mkuu umeelewa kilichowekwa hapa kama ushahidi??
Garrick ni kampuni na Acacia ni kampuni. Ushahidi umewekwa hapa kama kielelezo cha usajili wa ACACIA kinasomeka "Barrick". Wakati ombi la kubadili jina kutoka Barrick kwenda ACACIA liking nekana "utata" mkubwa kwa maana barua ya majibu kutoka BRELA...
Jeneza halipewi "heshima" hata kama linaenda kubeba mwili na binadamu aliyekuwa na heshima kiasi gani.
Taratibu ni kuheshimu mwili wa marehemu yeyote hata kama aliyekufa ni kichaa.
Heshima hii hutolewa iwe umevaa sare au bila sare na pia anayetoa salam hizi ni mwanajeshi yeyote bila kujali cheo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.