I'm not happy the way kesi inavyokwenda, btw CCM hawana aibu wala hurumu kwa mtu anaetishia uwepo wao madarakani. Katika Africa jamii nisiyoiamini ni jamii ya watanzania,Mbowe anaweza fungwa na watanzania wakaendekea na maisha yao kama vile Mbowe alikuwa hana maana yeyote kwenye maisha yao.
By the way wafanyabiashara na makampuni mengi yanayoagiza bidhaa za chakula kama chocolate, biscuit , cornflakes, cereals n.k. huo ndio mchezo wao. Wengine wana mpaka machines za ku-repack and labelling.
Huu ujinga uko mwingi sana , hadi kwenye magroup ya WhatsApp utakuta watu wanahimizana kuwa na michango ya misiba , hakuna hata group moja linaongelea kuchangia wagonjwa au shida nyingine , ni misiba tu. Yaani ni kama Tanzania ina nyota ya Mauti(kifo). Watu wote wasomi, wanasiasa, watawala, na...
International schools are not for everybody, hata ulaya na marekani kuna private na public schools. Jambo la muhimu ni kuwa na mitaala inayoendana na wakati na mazingira. Mfano, kuna haja gani ya mwanafunzi wa sekondari kusoma masomo 8 hadi 10?
Tokeni na ujinga wenu hapa, waongo na wezi wakubwa nyie. Labda mnapata jeuri sababu serikali ina hisa kiasi kwamba tcra haichukulii uzito malalamiko ya wateja kuhusu ubovu wa huduma zenu.
Mimi nina ushahidi, niliwahi lipia subscriptions na nikapata huduma baada ya siku tano tena kwa kupiga simu...
Wakuu ,I am withdrawing my thread, someone took me through the all process and found text messages which shows the money was deposited to my account. Btw ,kwenye simu yangu upande wa text message ili kuzuia sms za hovyo hivyo natumia True caller sms app kublock sms za matangazo, promotions na...
But unajua aliyenielekeza kwa huyo bank officer ni customer service manager tena akanipa hadi viwango vya kufungulia hizo account. Inawezekana branch nzima wanakula mgao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naandika uzi huu nikiwa shuhuda wa ninalotaka kuongelea, inawezekana labda mimi ndio sijui mabadiliko ya mifumo ya kibenk haswa kwenye kufungua account mpya.
Nimewahi fungua account kadhaa kwenye bank tofauti hapo nyuma lakini hili nililolishuhudia NMB limenistua.
Mara zote unapofungua...
Niliwahi kuwakimbia vibaka na kuingia kwenye nyumba ya vibaka (watoto yatima). Hiyo nyumba ya watoto yatima ilikuwa inavutwa bangi 24/7. Bahati nzuri nilimkuta kibaka mkuu (kiongozi wa hiyo kambi )ananifahamu, wakanisindikiza hadi home na nikawapa 5,000/=. Kuanzia siku ile hata iwe saa ngapi...
Vyama vya wafanyakazi ni mzigo mwingine kwa wafanyakazi, yaani ukiweka PAYE, mishahara duni, poor working conditions, unyanyasaji na vyama vya wafanyakazi, hao ndio maadui wa ustawi wa wafanyakazi Tanzania.
Suluhisho ni kwa
Vyama vya wafanyakazi kujitoa kwenye kwapa za CCM (Siasa) au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.