Una chuki zako binafsi juu ya uislam. Matokeo ya kasumba na matangopori uliolishwa kanisani.
Ukristo unafundisha..."waache wafu wazikane" Mathayo 8 21-22.. hii ni baada ya Mwanafunzi Kuomba ruhusa kuhudhuria mazishi ya baba yake aliyekufa wa dini nyingine. Alinyimwa ruhusa kwa kauli hiyo hapo...
Nilijua tu Kuna siku, Unabii fake wa Lema ungeki-cost CHADEMA.
Kwa akili finyu za Lema, uelewa wake kuhusu dini ni kipimo kwa watu wote!
Kapotea yeye, na anawapoteza wengine!
Hata toyota haitengenezi tairi na radio zilizopo kwenye magari yake na vifaa vingine vingi! Huu ndio mfumo sahihi wa manufacturing kwenye soko la kimataifa! Scania haitengenzi body ya magari yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.