kama simu yako ina WAP,fungua wap.mobango.com utakuta sehemu imeandikwa "applications" fungua halafu kwenye "search" tafuta application inayoitwa "power lock" kisha download kwenye simu. hii itakuwezesha kufunga simu yako kwa kutumia "pass word" hata ikiibiwa "flashing it will be useless"...
Msaada kilimani jamani.....Kwa wale wote waliowahi kusoma na kuishi Korea Kusini (na wale ambao bado wako huko pia,au yeyote yule mwenye taarifa husika), naomba taarifa zozote ambazo ni muhimu kujua kwa mtu mwenye mpango wa kuja huko kusoma. Yaani zile "Dos and Don'ts"
Great work Max :-) I would like to get information about studying for a masters degree in the Republic of Korea. Anyone who's ever been there for postgraduate studies is welcome to fill me in on any relevant info about living and studying in the ROK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.